Kufanikiwa kunakuja haraka kwa kuwanyanyua wengine

Kufanikiwa kunakuja haraka kwa kuwanyanyua wengine

Elisha Chuma

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2013
Posts
282
Reaction score
275
Kunyanyuka kwako kunakuja kwa kuwanyanyua wengine, usipambane sana kutoka wewe mwenyewe kwenye mzunguko wako, utarudishwa nyuma sana na kulalamikia sana wengine kwa sababu utaona wanafanyika mzigo kwako, lakini hebu jitahidi unaponyanyuka mshike mkono na mwingine/wengine mara nyingi uwezavyo, matokeo yake ni mazuri zaidi.

Elisha Chuma (Echu)

34cc3e76-08bc-4d64-b79e-2695a37fedaa.jpg
 
Ukipata Mpare au Muha aliyewainua wengine ili afanikiwe utakuwa umenishawishi, nimekaa pale.....[emoji142]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app

Wanainuana kwa kupeana nafasi za ajira na fursa, kwa watu wa mzunguko wao hivyo kwa aliefanikiwa utakuwa ameshawasaidia kupata kazi watu wengi ambao wako kwenye mzunguko wake wengi, hii inaweza kuwa moja kwa moja kwenye kazi yake ama sehemu nyingine alipoona fursa ipo ya mtu wake wa karibu kupata kipato zaidi.
 
"If you want to succeed, help enough others to get what they need and your success will never be ended"
 
Back
Top Bottom