Elisha Chuma
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 282
- 275
Kunyanyuka kwako kunakuja kwa kuwanyanyua wengine, usipambane sana kutoka wewe mwenyewe kwenye mzunguko wako, utarudishwa nyuma sana na kulalamikia sana wengine kwa sababu utaona wanafanyika mzigo kwako, lakini hebu jitahidi unaponyanyuka mshike mkono na mwingine/wengine mara nyingi uwezavyo, matokeo yake ni mazuri zaidi.
Elisha Chuma (Echu)
Elisha Chuma (Echu)