Kufanikiwa ni nini?

Kufanikiwa ni nini?

Ego is the Enemy

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
8,201
Reaction score
16,246
Habari wanajukwaa.

Naomba tujadiliane dhana ya maendeleo Ni nini. Kwa Nini mwingine anafanikisha Jambo mwingine anafanikisha. Imani yako ama mtizamo wako ni nini kinachopelekea
 
Najua mwingine kupata kazi nzuri ya ndoto take tayari Ni matimilizo ama fullfil ya maisha yake.
Mwingine kupata mke ama mme wa Aina fulani ya ndoto zake.
Mwingine awe na fani fulani kielimu.
Mwingine pesa ama utajiri ndio mafanikio kwake.
Mwingine anafika juu kabisa kwenye fani Kama mjeda Basi awe cdf ingawa hichi cheo kimekaa kisiasa mtu anamuweka pale kwa utashi wake na sio Kama Kama ukifaulu maths ukapata alama B Basi wewe utafaa kuwa mahala fulani
 
Mkuu kufanikiwa ni ile hali ya Kila mtu anavyotafsiri Kwa namna yake....Kwa maana nyingine ni ngumu sana kuelezea kufanikiwa ni nini.

Kuna mwingine kupata chakula ni kufanikiwa, mwingine kumiliki gari ni kufanikiwa, Kuna wanaaona kuoa/kuolewa ni kufanikiwa, wapo wanaoamini kujenga ni kufanikiwa, kazi nzuri ni kufanikiwa au kuwa na watoto ni kufanikiwa.

Na Kuna sisi ambao tukiamka salama, afya njema kwetu na waliotuzunguka basi Alhamdulillah hayo ndio mafanikio yetu makubwa kwenye maisha ya duniani.

Hivyo basi....kufanikiwa kunategemea na mtu binafsi anavyoyatafsiri mafanikio.
 
Pia Ni Nini kinachopelekea mwingine anapewa mtaji wa biashara labda let say 50M ama anafunguliwa biashara kabisa Ila anasuasua na aliyeanza bila ya kupewa mtaji labda akaanza umachinga ama vibarua baadaye anakuwa na biashara zaidi ya huyo aliyepewa mtaji
 
Mkuu kufanikiwa ni ile hali ya Kila mtu anavyotafsiri Kwa namna yake....Kwa maana nyingine ni ngumu sana kuelezea kufanikiwa ni nini.

Kuna mwingine kupata chakula ni kufanikiwa, mwingine kumiliki gari ni kufanikiwa, Kuna wanaaona kuoa/kuolewa ni kufanikiwa, wapo wanaoamini kujenga ni kufanikiwa, kazi nzuri ni kufanikiwa au kuwa na watoto ni kufanikiwa.

Na Kuna sisi ambao tukiamka salama, afya njema kwetu na waliotuzunguka basi Alhamdulillah hayo ndio mafanikio yetu makubwa kwenye maisha ya duniani.

Hivyo basi....kufanikiwa kunategemea na mtu binafsi anavyoyatafsiri mafanikio.
Yes!!! Nadhani namie nimeelezea hapo juu hapa tupo sawa kifikra zetu.
Ila Sasa why mwingine anafanikisha Jambo fulani mwingine hafanikishi. Sijui hapa unanielewa. Mfano tunapewa wote let say coaster tano baada ya miaka kumi unakuta mwingine Anazo 20 mwingine hata Moja hana. Tujikite hapa
 
  • Thanks
Reactions: Luv
Dhana ya mafanikio ni pana sana, lakini nitajaribu kueleza kinagaubaga.
Mafanikio ni kukipata kilee kitu ambacho unakihitaji maishani mwako mfano kama ukikuwa unahitaji gari ukapamabna baada ya mda fulani ukafanikisha kununua gari basi utakuwa umefanikiwa
Mafanikio yamegawanyika katika nyanja mba
 
Yaani tuna silaha ya Aina moja let say smg inazo risasi zote 30 ama lmg na risasi zake zote Mia Ila mwingine anafanikisha misheni fulani labda kuua Simba ama tembo kadhaa mwingine hafanikishi na silaha Ni moja
 
Dhana ya mafanikio ni pana sana, lakini nitajaribu kueleza kinagaubaga.
Mafanikio ni kukipata kilee kitu ambacho unakihitaji maishani mwako mfano kama ukikuwa unahitaji gari ukapamabna baada ya mda fulani ukafanikisha kununua gari basi utakuwa umefanikiwa
Mafanikio yamegawanyika katika nyanja mba
I salute you
 
Watakupa story zote.
Kufanikiwa ni only one way programme.
FINNANCIAL FREEDOM.
Popote ukanyage, ukae ndani umerelax, kuna muda hata kula si priority, you have it all.
 
Nikiwa mdogo below 8yrs tunalima na bro mie naiona jembe yake Kama inalima harakaharaka na Kama Ni Kali fulani ivi so nikawa namuomba tubadilishane ujue. Mana Ile ya kwake anaona inalima vizuri.

Ama njoo Hawa wakimbiza magari ya mashindano ya F1 yote ufundi Ni mmoja Ila matokeo tofauti
 
Watakupa story zote.
Kufanikiwa ni only one way programme.
FINNANCIAL FREEDOM.
Popote ukanyage, ukae ndani umerelax, kuna muda hata kula si priority, you have it all.
Financial freedom inaleta Ile kitu inaitwa wealth na ndio Mana waweza ukawa rich Ila usiwe wealth tofauti na Nini ya wealth ,rich and financial freedom
 
Yes!!! Nadhani namie nimeelezea hapo juu hapa tupo sawa kifikra zetu.
Ila Sasa why mwingine anafanikisha Jambo fulani mwingine hafanikishi. Sijui hapa unanielewa. Mfano tunapewa wote let say coaster tano baada ya miaka kumi unakuta mwingine Anazo 20 mwingine hata Moja hana. Tujikite hapa
Hapo itabidi tuanza kuzungumzia Qadar...., Utayari...Kujitoa....Malengo...Ufanisi....Namna ya kupokea changamoto za biashara za kuzitatua..n.k

Pia tutatakiwa kujikita kwenye ukweli kwamba si Kila mtu amezaliwa kuwa mfanyabiashara...

Kuna wale wanazaliwa biashara ipo kwenye damu huyu ni ngumu sana kukata tamaa na kutofanikiwa kwenye biashara.

Kuna wale wanatamani kufanya biashara na wanajaribu kufanya biashara ila hawawezi biashara Hawa ndio unakuta baada ya muda mfupi biashara Hana, au Leo anafanya hiki, kabla hakijasimama anaacha anahamia kule, kule nako hakujakaa vizuri anahamia biashara nyingine.

Biashara haihitaji pesa tu, inahitaji moyo wa dhati Kwa kuwa Kuna kukatishwa tamaa mno, Kuna changamoto nyingi sana Hadi kuanza kuona matunda ya biashara, ni biashara chache ambazo zitanyooka tu tangu mwanzo.

Nadhani nimejaribu kukujibu mkuu, kadri ya ufahamu wangu.
 
Kila mtu ashinde mechi zake ..Kila mtu ataenjoy mafanikio kutokana na angle aliyojipangia sio wote wanatakuwa mabilionea kwani kwa kawaida katika mzunguko wa fedha haiwezekani.

Watu wa jamii tofuati Wana mitazamo tofauti katika mafanikio ,Huu ni mfumo ambao kibanadamu tuna malengo tofauti na mfanikio zaidi na kama maendeleo kutoka sehemu moja kwenda nyingine kama ni elimu kuanza form four kwenda advance to university then first degree after that chasing for master's degree mpaka sijui PhD na kuwa professor .

Mafanikio yapo na maan Pana ila kila siku katika angle ya mafanikio tunajipambania kwenda mbele hata kama una lengo la ndoa bado utahitaji mtoto ukipata wa kwanza bado labda unataka wanne au watatu ..so ni jambo gumu sana
 
Hapo itabidi tuanza kuzungumzia Qadar...., Utayari...Kujitoa....Malengo...Ufanisi....Namna ya kupokea changamoto za biashara za kuzitatua..n.k

Pia tutatakiwa kujikita kwenye ukweli kwamba si Kila mtu amezaliwa kuwa mfanyabiashara...

Kuna wale wanazaliwa biashara ipo kwenye damu huyu ni ngumu sana kukata tamaa na kutofanikiwa kwenye biashara.

Kuna wale wanatamani kufanya biashara na wanajaribu kufanya biashara ila hawawezi biashara Hawa ndio unakuta baada ya muda mfupi biashara Hana, au Leo anafanya hiki, kabla hakijasimama anaacha anahamia kule, kule nako hakujakaa vizuri anahamia biashara nyingine.

Biashara haihitaji pesa tu, inahitaji moyo wa dhati Kwa kuwa Kuna kukatishwa tamaa mno, Kuna changamoto nyingi sana Hadi kuanza kuona matunda ya biashara, ni biashara chache ambazo zitanyooka tu tangu mwanzo.

Nadhani nimejaribu kukujibu mkuu, kadri ya ufahamu wangu.
Sijajikita tu kwenye biashara Ila Ni mfano nimetolea inaweza ikawa michezo,shule ,kazi labda mtu ameanza na ualimu cheti akapanda akafika mpaka afisa elimu mkoa na mwingine akaanza na bachelor Ila akaishia kwa bachelor hapo hapo na ualimu kawaida
 
Sijajikita tu kwenye biashara Ila Ni mfano nimetolea inaweza ikawa michezo,shule ,kazi labda mtu ameanza na ualimu cheti akapanda akafika mpaka afisa elimu mkoa na mwingine akaanza na bachelor Ila akaishia kwa bachelor hapo hapo na ualimu kawaida
Sawa tujikite kwenye nyanja zote..

Tunarudi palepale ni wachache wanajitambua kipaji/taaluma yao ipo kwenye Nini. Wengi wetu tunasukumwa tu na mazingira au maisha inasababisha kufanya vitu ambavyo hatustahili kufanya.

Hapo ndio unakuta aliyetakiwa awe mwanajeshi/polisi kawa nesi au daktari ndio unaona matukio ya ajabu hayaishi, Kwa kuwa yupo kitengo sio chake.

Na mengineyo ni hivyo hivyo
 
Sawa tujikite kwenye nyanja zote..

Tunarudi palepale ni wachache wanajitambua kipaji/taaluma yao ipo kwenye Nini. Wengi wetu tunasukumwa tu na mazingira au maisha inasababisha kufanya vitu ambavyo hatustahili kufanya.

Hapo ndio unakuta aliyetakiwa awe mwanajeshi/polisi kawa nesi au daktari ndio unaona matukio ya ajabu hayaishi, Kwa kuwa yupo kitengo sio chake.

Na mengineyo ni hivyo hivyo
Nashukuru mno kwa jibu lako. Ni zuri na Kama umetambua Ilo Ni Safi mno
 
Kuwa na uhakika na basic human needs. Ukitaka msosi unapata, sex kwa majimama au dogo dogo hayo ndiyo mafanikio.
 
Back
Top Bottom