Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,570
- 10,517
Habari wakuu,
Kuna mambo ambayo huwa ninashindwa kuelewa pale binadamu mwenzangu wa kiume anapofanya eti kwa ajili ya Mwanamke, tena wakati mwingine ni mpenzi tu.
Naandika haya nikijua sitafurahisha baadhi ya watu lakini ukweli ni kwamba kufanya yafuatayo kwa ajili ya mapenzi, kwa ajili ya mwanamke ni uzuzu
1. Kuchora tatoo yenye sura au jina la mpenzi ni uzuzu
2. Kumsomesha demu wako ni uzuzu
3. Kumjengea nyumba demu au familia yake ni uzuzu
4. Kuweka profile picture ya demu wako kwenye social media ni uzuzu
Taja uzuzu mwingine wanaofanya baadhi ya Wanaume katika mapenzi
Kuna mambo ambayo huwa ninashindwa kuelewa pale binadamu mwenzangu wa kiume anapofanya eti kwa ajili ya Mwanamke, tena wakati mwingine ni mpenzi tu.
Naandika haya nikijua sitafurahisha baadhi ya watu lakini ukweli ni kwamba kufanya yafuatayo kwa ajili ya mapenzi, kwa ajili ya mwanamke ni uzuzu
1. Kuchora tatoo yenye sura au jina la mpenzi ni uzuzu
2. Kumsomesha demu wako ni uzuzu
3. Kumjengea nyumba demu au familia yake ni uzuzu
4. Kuweka profile picture ya demu wako kwenye social media ni uzuzu
Taja uzuzu mwingine wanaofanya baadhi ya Wanaume katika mapenzi