Exactly. Tatizo unahonga kitu kama kumsomesha halafu, anakuacha kwakuwa amepata hako kaelimu. Kujua kwamba umemsomesha halafu ndio anakupiga chini inauma sana mkuu. Ndio maana huo nauita ni uzuzu.Kuhonga kwa mwanamke.
KUSIZIDI UWEZO WAKO.
Ni kama Betting.weka kiwango ambacho hata ukipoteza Hautaumia moyo.
Mbona mie nimechora sura yako karibu na mimi
[emoji16]ukipata wawili nipunguzie mmoja
Usijali best ake, novena itahusika tu kwakweli[emoji6]Nitapunguzia mama angu niombee nimpate zuzu wangu
Usijali best ake, novena itahusika tu kwakweli[emoji6]
MhhhhhhNitapunguzia mama angu niombee nimpate zuzu wangu
Nini jamaniMhhhhhh
Nimejibu hivi kutokana na Kichwa cha Habari.....We kwa baba yako sio demu (husiano wenu sio wa mwanamke na mwanamme bali baba na mtoto)