Kufanya mapenzi kinyume na maumbile

kuna watu sijawaona hapa.:lol::lol::lol:

Dunia inapoeleke ni kubaya sana.
 
Kwa hiyo wewe unapigia debe dhambi hiyo ya kufanyana kinyume na maumbile au mie ndio sijaelewa lengo ya thread yako?
 
Da! Hii umeitoa katika moja ya mada za dibahicious. Blog sport.com. Hongera kwa kuperuzi.
 

Hawako sahihi. Uumbaji wa Mungu hauna mapungufu. Alimuumba mwanamume ana dushelele na akaona si vema awe peke yake akamuumbia mwanamke mwenye papuchi ili kukidhi mahitaji ya dushe. Tigo iliwekwa pale kwa kazi maalum unaijua sio special kwa dushe. Na alisisitiza kuwa ni dhambi kwenda kinyume ... yaani kula tigo. Sodoma na gomora iliangamia .... moja ya kitu kilichomuudhi muangamizaji ni matumizi ya tigo.

Hivi kweli papuchi haiwatoshi hadi mgeuze tigo kuwa papuchi??? hapana hizo ni hila tu za shetani, maana anajua madhara ya tigo... magonjwa na mikasa chungunzima. Ungebahatika kukutana na mtu anayeumwa tigo kwa sababu ya kuitumia vibaya usingetaka kuhalalisha jambo hili. Hebu tujipende sisi na miili yetu... tusiitumia vibaya kwa kuiga na kwa kujifanya hatujali. Utakapoanza kutoka madudu na mimaji huko tigoni utakuwa peke yako waliokulegeza hawatakuwepo na utapata maumivu utakoma.
 

Wew inaelekea ni mla 0714 maarufu mjini
 
..nashukuru maandiko yamebainisha vyema kuwa
Kila mtu atahukumiwa sawa sawa na matendo yake..
 

Naona ni tatizo la ki-ideology zaidi kuliko kiafya, kama ni magonjwa kote yapo.
 
kuna watu sijawaona hapa.:lol::lol::lol:

Dunia inapoeleke ni kubaya sana.

ilishavuka kubaya, sas hivi iko kwenye mteremko, Mungu alishaweka neutral kitu kinateleza chenyewe....saaafi!
 
Reactions: G3T
Hili suala ni gumu sn,kuna dhana ya wadada kuonekana kuwa atakuwa kaonesha upendo sn akimpa mme tg.Kuna mdada amewahi kuniuliza kama ninaweza mla tg au pengine kama ninatamani daaa nilimshangaa sn na nilipinga na kukilaani kitu hicho kwa nguvu kubwa sn.
Mwingine yupo mtaani hapa akigeuka tu alipokaa ushuzi wa sauti unasikika masikini wamemlegeza,huku yy akijifanya mjanja kweli! WALAANIWE.
 
Reactions: tyc
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…