Kufanya mapenzi kwa wanandoa kwa wiki mara 3 kunapunguza kupata shambulio la Moyo!

Na wasiofanya inakuwaje MziziMkavu?
Wasiofanya tendo la ndoa wapo hatarini

kupatwa na huo ugonjwa wa Heart Attack. Ili kujiepusha Heart Attack tumia njia ingine hii hapa. Unapo amka Asubuhi

kunywa Maji ya Uvuguvugu glasi 3 kabla ya kula kitu asubuhi na ukae kwa muda saa 1 baada ya hapo waweza kula

chakula. Na Wakati wa mchana kunywa glasi ya Maji ya Uvuguvugu Glasi 2 kabla

ya kula kitu na baada ya saa 1 kupita waweza kula chakula na usiku kunywa pia maji ya Uvuguvugu glasi 2 kabla kula

chakula cha usiku na wakati wa kulala kunywa glasi 1 maji ya uvuguvugu kisha waweza kulala huta patwa na huo

ugonjwa wa Shambulio la Moyo Heart Attack. Chanzo ni MziziMkavu Hauchimbwi Dawa.
 


HEALTH BENEFITS OF LOVE~~~~~~~~~~

1. Improve blood circulation.
2. Lessen pain.
3. Lower the chances of having cancer.

4. Promote mental health.
5. Reduce the risk of heart diseases.
6. Lower blood pressure.
7. Improves our memory.
8. Raises your confidence.
9. Provides sense of security.
10. Makes us feel younger and helps us live longer.

 

Asante MziziMkavu kwa kunipa hii fomula. Huwa nakunywa maji lita 3 kila siku ila nilikuwa sifuati huo utaratibu nitaifuata. Hata hivyo im strong.
 
Last edited by a moderator:
Imenichanganya kidogo ni siku tatu kwa wiki au magoli matatu kwa wiki? mimi na mpenzi tuna-do wikiendi tu ila ana uwezo wa kutoa zaidi ya magoli matatu. Mzizimkavu nitoholee hapo inakuwaje ili tuwe salama na mpenzi wangu
cc farkhina, gfsonwin,
mkereketwa_huyu, power to the
people, tukutuku Samaritan
 
Let's nature takes it's part and follow t's way,god has special wilth for everythat exists
 
Kwa wiki unafanya mara 3 siku tofauti sio magoli 3 kwa wiki ukiweza hata kwa wiki kupiga magoli 6 piga ili mradi ufanye kwa wiki siku 3 tofauti.
 
My God uuuuuu
Asante BAK
Nakutakia pia siku njema na kazi njema sana.
Wanapata mfadhaiko wa akili ambao huweza kusababisha hata kushindwa kufanya shughuli zao muhimu za kila siku. Mzima weye!? Nakutakia siku na kazi njema.

 
Last edited by a moderator:
Wanapata mfadhaiko wa akili ambao huweza kusababisha hata kushindwa kufanya shughuli zao muhimu za kila siku. Mzima weye!? Nakutakia siku njema


mkuu hapa unatuwekea video za namna hii! We hujui kuna watoto wanaingia humu JF??
Hii ni xrated music video!! Hebu ifiche kidogo, utatuharibia wtt namna hii!
Duuhhh!
Balaa hili!
 
Faida nyingine kaswende,kisonono,pangusa ,herpes simplex virus, warts,ukimwi, gono, na mwisho ni kuchafua mashuka
 
Hapa ametaja faida tupu, kwa sehemu kubwa zinawahusu wenye mafuta mengi mwilini. Kwa watu wenye upungufu wa mafuta mwilini ni hatari. Tendo la ndoa ni moja ya vigezo vinavyochangia kupunguza life span ya mtu mwanaume. Ukifuatilia kwa makini utaona kuwa wanaume wenye ndoa hutangulia kufa ukilinganisha na wake zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…