Kufanya marejesho ya kodi TRA mwisho wa mwaka hii risiti inafaa?

Kufanya marejesho ya kodi TRA mwisho wa mwaka hii risiti inafaa?

Upepo wa Pesa

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2015
Posts
21,600
Reaction score
35,158
Wakuu habari?

Kuna kitu nimenunua kariakoo ila sikupewa risiti ya mashine nimepewa ya mkono.

Je, wakati wa kulipa kodi mwisho wa mwaka naweza kuitumia hii risiti kama njia ya kuonesha gharama nilizo tumia kununua hicho kifaa ili kodi ipungue?
 
Acha kucomplicate maisha,

Kodi hazikadiriwagii hivyo
 
Acha kucomplicate maisha,
Kodi hazikadiriwagii hivyo
Ina kadiriwaje mkuu? Ukiwa na kampuni Si lazima uonyeshe mapato na matumizi yako ili kiwango cha kutozwa kodi kijulikane?

Naomba nieleweshe kama nimekosea.
 
Wakuu habari?

Kuna kitu nimenunua kariakoo ila sikupewa risiti ya mashine nimepewa ya mkono.

Je, wakati wa kulipa kodi mwisho wa mwaka naweza kuitumia hii risiti kama njia ya kuonesha gharama nilizo tumia kununua hicho kifaa ili kodi ipungue?
Ni wazi hicho kitu hakina thamani kubwa, vinginevyo usingekubali risiti isiotambulika. Potezea tu.
 
Wakuu habari?

Kuna kitu nimenunua kariakoo ila sikupewa risiti ya mashine nimepewa ya mkono.

Je, wakati wa kulipa kodi mwisho wa mwaka naweza kuitumia hii risiti kama njia ya kuonesha gharama nilizo tumia kununua hicho kifaa ili kodi ipungue?
Attach hiyo risiti haO wahuni washughulikiwe
 
Back
Top Bottom