Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Wakuu habari?
Kuna kitu nimenunua kariakoo ila sikupewa risiti ya mashine nimepewa ya mkono.
Je, wakati wa kulipa kodi mwisho wa mwaka naweza kuitumia hii risiti kama njia ya kuonesha gharama nilizo tumia kununua hicho kifaa ili kodi ipungue?
Kuna kitu nimenunua kariakoo ila sikupewa risiti ya mashine nimepewa ya mkono.
Je, wakati wa kulipa kodi mwisho wa mwaka naweza kuitumia hii risiti kama njia ya kuonesha gharama nilizo tumia kununua hicho kifaa ili kodi ipungue?