worms
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 978
- 911
Habari wakuu.
Natumia gari aina ya Rav 4 kilitime engine 1790cc vvti.
Baada ya kuiendesha muda mrefu kidogo maji yalikuwa yanavuja na hivyo ilichemka sana bila mimi kujua.
Nimepeleka kwa fundi ananiambia natakiwa kufanya engine overhaul, Je ni sahihi? Na gari kuchemka muda mrefu inapelekea uhitaji wa kufanya overhaul?
Natumia gari aina ya Rav 4 kilitime engine 1790cc vvti.
Baada ya kuiendesha muda mrefu kidogo maji yalikuwa yanavuja na hivyo ilichemka sana bila mimi kujua.
Nimepeleka kwa fundi ananiambia natakiwa kufanya engine overhaul, Je ni sahihi? Na gari kuchemka muda mrefu inapelekea uhitaji wa kufanya overhaul?