Kufanya supermarket Tanga. Partnership

zakarya

Member
Joined
Nov 1, 2015
Posts
36
Reaction score
5
Ningetaka kufanya duka huko Tanga lakini nina mtaji mdogo ndo maana ninatafuta partner mwenzangu mfanyabiashara kufanya mradi huo nami. Lazima awe mwaminifu.
 
Ningetaka kufanya duka huko Tanga lakini nina mtaji mdogo ndo maana ninatafuta partner mwenzangu mfanyabiashara kufanya mradi huo nami. Lazima awe mwaminifu.
Natoa kiwanja
 
Uchumi wa wana Tanga ukoje? Make Super Market sana ni kwa ajili ya Middle class na sio lower class.

so lazia ufanye analysis kujua Consumption triends ya wana Tanga mjini ikoje.
Usikimbie tu kuanzisha Supermarket
 
Uchumi wa wana Tanga ukoje? Make Super Market sana ni kwa ajili ya Middle class na sio lower class.

so lazia ufanye analysis kujua Consumption triends ya wana Tanga mjini ikoje.
Usikimbie tu kuanzisha Supermarket


Uko Tanga ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…