Mafyangula
Member
- Jan 16, 2025
- 75
- 100
Wakuu!
Mtaani kuna stori nyingi sana. Sasa leo nimesikia kwa mara nyingine tena kwa wadau wangu wa kitaa kwamba wanadai etiy kufanya tendo la ndoa mida ya asubuhi kuanzia saa 11 hadi 12 kuna faida za kiafya.
Ikiwemo ubongo kuwa na uwezo wa kufikiri haraka hususani katika majukumu yako ya kazi, kuondoa mawege ya usiku, kupata nguvu ya kazi n.k
Sasa je wataalamu wa mambo hii imekaaje je ni kweli au bwebwe tu?
Mtaani kuna stori nyingi sana. Sasa leo nimesikia kwa mara nyingine tena kwa wadau wangu wa kitaa kwamba wanadai etiy kufanya tendo la ndoa mida ya asubuhi kuanzia saa 11 hadi 12 kuna faida za kiafya.
Ikiwemo ubongo kuwa na uwezo wa kufikiri haraka hususani katika majukumu yako ya kazi, kuondoa mawege ya usiku, kupata nguvu ya kazi n.k
Sasa je wataalamu wa mambo hii imekaaje je ni kweli au bwebwe tu?