Mafyangula
Member
- Jan 16, 2025
- 75
- 100
Sio poa ni hatariIkiwemo ubungo kuwa na uwezo wa kufikiri haraka
Mtoa mada amesema tendo la ndoa, wewe uko bize na zinaa, akili zimo kweli!!!?? Au ndo kukurupuka?Ikimbie zinaa
Na stress zote hizi za maisha?? Unawaza kukimbilia daladala umuwahi mhindiWakuu!
Mtaani kuna stori nyingi sana. Sasa leo nimesikia kwa mara nyingine tena kwa wadau wangu wa kitaa kwamba wanadai etiy kufanya tendo la ndoa mida ya asubuhi kuanzia saa 11 hadi 12 kuna faida za kiafya.
Ikiwemo ubungo kuwa na uwezo wa kufikiri haraka hususani katika majukumu yako ya kazi, kuondoa mawege ya usiku, kupata nguvu ya kazi n.k
Sasa je wataalamu wa mambo hii imekaaje je ni kweli au bwebwe tu?
Uliekurupuka ni wewe.Mtoa mada amesema tendo la ndoa, wewe uko bize na zinaa, akili zimo kweli!!!?? Au ndo kukurupuka?
etiy kufanya tendo la ndoa mida ya asubuhi kuanzia saa 11 hadi 12 kuna faida za kiafya.
Faida za kiafya za tendo la ndoa zinaweza kupatikana wakati wowote wa siku, iwe ni asubuhi, mchana, au usiku.
Sasa je wataalamu wa mambo hii imekaaje je ni kweli au bwebwe tu?
Hitimisho
Madai ya wadau wako wa kitaa yana msingi wa kweli, lakini yanaweza kuwa yamepotiwa kidogo. Tendo la ndoa lina faida za kiafya kama kupunguza stress, kuboresha mood, kuongeza nguvu, na hata kuboresha uwezo wa kufikiri, lakini wakati wa siku sio jambo la msingi. Faida hizi hazitegemei kufanya tendo la ndoa asubuhi tu, au haswa kati ya saa 11 na 12. Hivyo, si bwebwe kabisa, lakini pia si kweli kabisa kwamba asubuhi ndiyo wakati pekee wa kupata faida hizi.
Ikiwa wewe na mwenza wako mnapenda tendo la ndoa asubuhi na mnaona linawasaidia kuanza siku yenu vizuri, basi ni sawa kabisa. Lakini ikiwa unahisi shinikizo la kufanya hivyo kwa wakati maalum ili kupata faida, usijali—tendo la ndoa linaweza kukusaidia kiafya bila kujali ni saa ngapi. Jambo la muhimu ni kufanya kile kinachokufaa wewe na mwenza wako, kwa sababu kila mtu ni tofauti.
---Kwa hiyo, wakuu, stori za mtaani zina ukweli kidogo, lakini usichukulie kuwa tendo la ndoa asubuhi ndiyo suluhisho la kila kitu—ni zaidi kuhusu tendo lenyewe kuliko wakati wa kufanya!
Kama hukutaka wengine tusisome wala kucomment kwenye ujumbe wako si ungemfata huko inbox. Acha kukurupuka, mawazo yamejaa zinaa tu.Uliekurupuka ni wewe.
ujumbe umeenda kwa mtoa mada majibu unatoa wewe mpfyuuuuuu zako!
NImfuate inbox wakati mada ameileta hapa!Kama hukutaka wengine tusisome wala kucomment kwenye ujumbe wako si ungemfata huko inbox. Acha kukurupuka, mawazo yamejaa zinaa tu.