Kufanya tendo la ndoa asubuhi kuanzia saa 11 hadi 12 kuna faida za kiafya au ni mbwembwe tu?

Mafyangula

Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
75
Reaction score
100
Wakuu!

Mtaani kuna stori nyingi sana. Sasa leo nimesikia kwa mara nyingine tena kwa wadau wangu wa kitaa kwamba wanadai etiy kufanya tendo la ndoa mida ya asubuhi kuanzia saa 11 hadi 12 kuna faida za kiafya.

Ikiwemo ubongo kuwa na uwezo wa kufikiri haraka hususani katika majukumu yako ya kazi, kuondoa mawege ya usiku, kupata nguvu ya kazi n.k

Sasa je wataalamu wa mambo hii imekaaje je ni kweli au bwebwe tu?
 
1. Kupunguza Msongo wa Mawazo: Kufanya mapenzi husaidia kupunguza viwango vya homoni za msongo wa mawazo kama cortisol na huongeza uzalishaji wa endorphins, kemikali ambazo zinaweza kuboresha hali ya hisia na kupunguza mfadhaiko.

2. Kuboresha Usingizi: Baada ya tendo la ndoa, mwili hutoa oxytocin na prolactin, homoni ambazo zinaweza kusaidia kupunguza usingizi na kukuza hisia za utulivu, hivyo kuboresha ubora wa usingizi.

3. Kuimarisha Kinga ya Mwili: Utafiti unaonyesha kuwa kufanya mapenzi mara kwa mara kunaweza kusaidia kuimarisha mfumo wa kinga ya mwili kwa kuongeza viwango vya immunoglobulin A (IgA), ambayo husaidia mwili kupambana na maambukizi.

4. Kuimarisha Mahusiano: Kufanya mapenzi husaidia kuimarisha uhusiano wa kihisia kati ya wenzi kwa kuongeza viwango vya oxytocin, homoni inayojulikana kama "homoni ya mapenzi" ambayo inakuza hisia za kuungana na uaminifu.

5. Kuboresha Afya ya Moyo: Kufanya mapenzi mara kwa mara kunaweza kusaidia katika kuboresha afya ya moyo kwa kudhibiti shinikizo la damu na kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo.

6. Kuongeza Uwezo wa Akili: Baadhi ya tafiti zinaonyesha kuwa tendo la ndoa linaweza kuboresha utendaji wa akili na kumbukumbu, hasa kwa wazee, kwa kuchochea mtiririko wa damu kwenye ubongo.

7. Kuboresha Kujitambua na Kujiamini: Kushiriki katika tendo la ndoa kunaweza kusaidia kuboresha jinsi unavyojiona mwenyewe, kuongeza hali ya kujiamini na kuridhika na mwili wako.

8. Kupunguza Maumivu, Homoni za endorphins zinazotolewa wakati wa kufanya mapenzi zinaweza kusaidia kupunguza maumivu ya mwili, kama vile maumivu ya kichwa na maumivu ya misuli.

Source..https://www.jamiiforums.com/threads/faida-za-kufanya-mapenzi.2252871/
 
Kufanya Mazoezi alfajiri Kuna faida nyingi kiafya.. Kupiga Bao Moja ni sawa na kutembea Kilometa kadhaa.
 
Na stress zote hizi za maisha?? Unawaza kukimbilia daladala umuwahi mhindi
 
Sasa je wataalamu wa mambo hii imekaaje je ni kweli au bwebwe tu?

Kwa hiyo, wakuu, stori za mtaani zina ukweli kidogo, lakini usichukulie kuwa tendo la ndoa asubuhi ndiyo suluhisho la kila kitu—ni zaidi kuhusu tendo lenyewe kuliko wakati wa kufanya!
---
Grok 3 (Think Mode)
 
Uliekurupuka ni wewe.
ujumbe umeenda kwa mtoa mada majibu unatoa wewe mpfyuuuuuu zako!
Kama hukutaka wengine tusisome wala kucomment kwenye ujumbe wako si ungemfata huko inbox. Acha kukurupuka, mawazo yamejaa zinaa tu.
 
Kama hukutaka wengine tusisome wala kucomment kwenye ujumbe wako si ungemfata huko inbox. Acha kukurupuka, mawazo yamejaa zinaa tu.
NImfuate inbox wakati mada ameileta hapa!
Umetumwa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…