K kachumbari Senior Member Joined Nov 1, 2010 Posts 126 Reaction score 9 Jan 18, 2011 #1 Sielewi kipi ni kibaya zaidi? kuficha kwamba una mtu unaempenda au kuwa na wasiwasi kuwaeleza watu kuwa unampenda na kuogopa ipo siku utaaachwa?
Sielewi kipi ni kibaya zaidi? kuficha kwamba una mtu unaempenda au kuwa na wasiwasi kuwaeleza watu kuwa unampenda na kuogopa ipo siku utaaachwa?
W Wakuchakachua JF-Expert Member Joined Nov 2, 2010 Posts 346 Reaction score 9 Jan 18, 2011 #2 mueleze kuachwa ni matokeo
Husninyo JF-Expert Member Joined Oct 24, 2010 Posts 23,851 Reaction score 9,472 Jan 18, 2011 #3 Vyote vina ubaya sawa. Unamficha ina maana hujaridhika nae au? Kwanza mapenzi hayafichiki.
Inkoskaz JF-Expert Member Joined Nov 6, 2010 Posts 6,361 Reaction score 2,378 Jan 18, 2011 #4 kachumbari said: Sielewi kipi ni kibaya zaidi? kuficha kwamba una mtu unaempenda au kuwa na wasiwasi kuwaeleza watu kuwa unampenda na kuogopa ipo siku utaaachwa? Click to expand... sema usiogope ulizaliwa wewe peke yako uchi utakufa peke yako kuachwa na kuacha sio kusudio ni matokeo ya hitilafu ktk safari ya mapenzi
kachumbari said: Sielewi kipi ni kibaya zaidi? kuficha kwamba una mtu unaempenda au kuwa na wasiwasi kuwaeleza watu kuwa unampenda na kuogopa ipo siku utaaachwa? Click to expand... sema usiogope ulizaliwa wewe peke yako uchi utakufa peke yako kuachwa na kuacha sio kusudio ni matokeo ya hitilafu ktk safari ya mapenzi
tama JF-Expert Member Joined Dec 15, 2010 Posts 602 Reaction score 71 Jan 18, 2011 #5 Kuficha ni mbaya,na pia kuachwa hayo ni matokeo tu.