Zamani kabla ya streaming hazijashika hatamu ilikua rahisi sana kujua mauzo HALISI maana nyimbo zilikua zinauzwa kwenye cd au kaseti au santuri au unadownload baada ya kuulipia
Lakini siku hizi ukilipia na ku subscribed labda Apple music au Tidal au Sportfy nk wimbo mpya ukitoka wewe kaZi yako ni kuwa na bando na kaustream tu
Hivyo basi kuna formula mpya ya kusema wimbo umefikia kiwango kipi cha mauzo
Sijafatilia sana ila wanachofanya ni kuchukua jumla ya streaming na wanazigawa kwa rate zao ili kupata equivalent to “pure sales” halafu ndio wanajua kama mauzo ni gold au platinum ama diamond