Kufikia mwaka 2400, kutakuwa hakuna wazungu na waafrika, bali rangi zingine mchanganyiko

Kufikia mwaka 2400, kutakuwa hakuna wazungu na waafrika, bali rangi zingine mchanganyiko

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2018
Posts
448
Reaction score
409
Kufuatia Waafrika na Wazungu Kuzaliana na kupata watoto mchanganyiko basi upo uwezekano kufikia mwaka 2400 wasiwepo Waafrika na wazungu Bali kizazi mchanganyiko kufuatia baba kuwa mzungu na mama mwafrika au kinyume chake.

Sasa hivi ukienda Marekani si ajabu kukuta watoto mixer na imekuwa ndoto ya kila kijana wa Kiafrika kuzaa na Mzungu.

Hivyo watabaki Wachina, Wahindi na Waarabu.

Labda suluhu iwe mtoto mmoja azae na mzungu/Mwafrika mwenzake na wengine wazae na rangi tofauti yaani mzungu na mwafrika.kazi Ipo kwenye kuruhusu mkeo au mumeo kuzaa na mtu wa kwao kulinda rangi(race yake).

Masia akirudi hatawakuta ndugu zake.
 
Kufuatia Waafrika na Wazungu Kuzaliana na kupata watoto mchanganyiko basi upo uwezekano kufikia mwaka 2400 wasiwepo Waafrika na wazungu Bali kizazi mchanganyiko kufuatia baba kuwa mzungu na mama mwafrika au kinyume chake.

Sasa hivi ukienda Marekani si ajabu kukuta watoto mixer na imekuwa ndoto ya kila kijana wa Kiafrika kuzaa na Mzungu.

Hivyo watabaki Wachina,Wahindi na Waarabu.

Masia akirudi hatawakuta ndugu zake.
Nikilala nikiamka...!
 
Kufuatia Waafrika na Wazungu Kuzaliana na kupata watoto mchanganyiko basi upo uwezekano kufikia mwaka 2400 wasiwepo Waafrika na wazungu Bali kizazi mchanganyiko kufuatia baba kuwa mzungu na mama mwafrika au kinyume chake.

Sasa hivi ukienda Marekani si ajabu kukuta watoto mixer na imekuwa ndoto ya kila kijana wa Kiafrika kuzaa na Mzungu.

Hivyo watabaki Wachina,Wahindi na Waarabu.

Masia akirudi hatawakuta ndugu zake.
Naunafikiri ni kwanini Mzungu na Mwafrika wakizaa mtoto akiwa uko Ulaya na Marekani basi wazungu uanza kuwabagua kwamba siyo wazungu,
Nawao by default wanaegemea ranging nyeusi yahani waafrika?
Kuna Kuna nguvu kubwa sana kwenye rangi nyeusi
 
Kufuatia Waafrika na Wazungu Kuzaliana na kupata watoto mchanganyiko basi upo uwezekano kufikia mwaka 2400 wasiwepo Waafrika na wazungu Bali kizazi mchanganyiko kufuatia baba kuwa mzungu na mama mwafrika au kinyume chake.

Sasa hivi ukienda Marekani si ajabu kukuta watoto mixer na imekuwa ndoto ya kila kijana wa Kiafrika kuzaa na Mzungu.

Hivyo watabaki Wachina,Wahindi na Waarabu.

Masia akirudi hatawakuta ndugu zake.
White people (caucasian) hata definition yake nadhani huijui mkuu!
 
Uko right Ila sio kwa huo muda, labda kwa mileniam zijazo, human evolution bado inachukua nafasi yake japo kwa kasi ndogo Sana.
 
huyo mwafrika, mzungu, mu-asia wote walikuwepo tangu enzi za mfalme Suleiman, amini amini nakwambia, wataendelea kuwepo kwa millennium kadhaa zijazo.
 
Back
Top Bottom