Kufikiri kwetu vibaya na mustakabali wa afya zetu………..!


wakati mwingine ukijifunza si lazima uchangie mimi nipo kupokea elimu zaidi hapa yakinikaa nitakuja kivingine na kuchangia once again thanks niko kielimu zaidi pata mengi kwako karibu kwa mengine zaidi
 

And thats whassup!
 
Kila penye shari kuna heri ndani yake. Thanx sana mtambuzi, mi pia namshukuru mungu si mtu wa kuyafikiri sana matukio mabaya kiasi cha kunifanya niumie. Naamini unapokuwa katika wakati mgumu sana ujue neema imekaribia. Najipa moyo kinamna hiyo na maisha yanasonga.
 
[
Mtambuzi, nashukuru tunaamini kwenye kitu kimoja mshua. Nimefiwa na watu wa karibu sana watatu. Wa kwanza 20 years ago, so u can imagine umri ulikuwa mdogo. Lakini hata the last one (few weeks ago) still nahisi I behaved the same. Wakati wa kuuguza huwa nalia na kuchanganyikiwa. Lakini akishafariki ni wakati wa ku-focus kwenye mambo ya msingi. To be composed is possible bwana!
 
Last edited by a moderator:

Kiongozi, hapa naunga mkono hoja!
 
King'asti, Mtambuzi na HorsePower

Nachojaribu kusema ni kuwa, ukipotelewa na kitu huwezi chukulia positive from initial point
Lazima taharuki itakuwepo tu, but at time t=x ndio utaanza kuona reasons na kukubali matokeo.

Labda tunachopishana ni t gani.

Kila mtu anapenda t=x, but x-->0 not x-->infinity

Ndio maana King'asti umesema wazi wakati wa kuuguliwa huwa unalia, that means hiyo ni taharuki hadi kufikia msiba time yako ya kuheal na kukubali matokeo inakuwa ishafika.

Lakini kusema utabasamu kwa tatizo from t = 0???
 
Last edited by a moderator:

Mtambuzi check your facts, Huyu jamaa siyo kweli kwamba ndiye mgunduzi wa balbu ila ana mchango wake kiasi fulani.
 

Kama hauumizwi na matukio mabaya ni kwa sababu tu threshold yako inaweza kuwa juu kiasi fulani kuliko watu wengine ambao tunaweza kuwaita ni wa kawaida. Kwa mfano watu wote walio katika hali ya kawaida wanaweza kupata maumivu ya mwili na kupiga makelele lakini kila mtu ana kiwango fulani cha maumivu anachoweza kuvumilia kabla ya kuanza kupiga kelele. Hata hivyo hakuna binadamu anayeweza kuvumilia maumivu ya viwango vyote bila kupiga kelele.

Kwa hiyo utaona kuwa hata kwa upande wake kama matukio hayakuumizi ni kwa kuwa bado hayajavuka threshold yako, otherwise trust me yakivuka hiyo pointi utaumia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…