Kufikisha Ujumbe kwa Waziri wa Elimu ya Juu

Moseley

Senior Member
Joined
Jul 10, 2010
Posts
187
Reaction score
98
Habari?

Nahtaji kufikisha ujumbe wangu kwa waziri wa elimu ya juu.. Je nifanyaje?? Na, hakuna uchakachuaji wowote wa ujumbe unapokua unasafiri kwenda kwake?? Maana wasiwasi wangu huenda ujumbe wangu usimfikie na badala yake ukakomea njiani..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…