Moseley Senior Member Joined Jul 10, 2010 Posts 187 Reaction score 98 Jul 13, 2011 #1 Habari? Nahtaji kufikisha ujumbe wangu kwa waziri wa elimu ya juu.. Je nifanyaje?? Na, hakuna uchakachuaji wowote wa ujumbe unapokua unasafiri kwenda kwake?? Maana wasiwasi wangu huenda ujumbe wangu usimfikie na badala yake ukakomea njiani..
Habari? Nahtaji kufikisha ujumbe wangu kwa waziri wa elimu ya juu.. Je nifanyaje?? Na, hakuna uchakachuaji wowote wa ujumbe unapokua unasafiri kwenda kwake?? Maana wasiwasi wangu huenda ujumbe wangu usimfikie na badala yake ukakomea njiani..