Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,515
- 28,506
Baada ya Jay Z kumsaliti Beyonce mashabiki wameandaa kampeni ya kumuombea msamaha.
Ni baada ya albamu ya Beyonce ‘ Lemonade’ kuweka wazi kuwa Jay Z aliwahi kumsaliti na mwanamke aliyemtaja kwa mstari ‘He better call Becky with the good hair’ kwenye wimbo Sorry . Lakini mwanamke huyo aliyehisiwa kuwa ni Rachel Roy alikana kuwahi kutoka na Jay Z.
Mashabiki wa Jay Z wamepanga kufanya kampeni ya kumuombea msamaha Jay Z ili Queen Bey amsamehe bosi huyo wa Rock Nation.
Lakini mtu wa karibu wa familia hiyo aliliambia jarida la US Weekly kuwa rapper huyo, 46, anarekodi nyimbo zitakazoeleza upande wake wa kilichotokea kwenye ndoa yake na Beyonce.
Source: Bongo 5
Samahani Ikhlasi, nakusihi uache uongo na pretending. Watu walioelekeza jitihada kwenye sukari hawaingii CELEBRITY FORUM.Samhani mkuu kama nita kuudhi,lakn kwa sasa sisi watanzania tuelekeze jitihada zetu katika kujadili tatizo la SUKARI NA WATUMISHI HEWA NA SIO NDOA YA JAY Z NA BEYONCE.....muda tuliopewa ni mdogo xana
Kumbuka hakuna relationship kati ya UZURI (mwonekano wa mwanamke) na Mashine (K). Wengi ni wazuri kwa kuwatizama ila performance baada ya kuzima taa na Vikojoleo kuanza kuzungumza ni majanga. Kuchoka kwingi hata kusingizia Chinena (ugonjwa wa kusini)etcDuuu hata wanawake warembo nao yanawakuta?
Kumbuka hakuna relationship kati ya UZURI (mwonekano wa mwanamke) na Mashine (K). Wengi ni wazuri kwa kuwatizama ila performance baada ya kuzima taa na Vikojoleo kuanza kuzungumza ni majanga. Kuchoka kwingi hata kusingizia Chinena (ugonjwa wa kusini)e
Asante kwa ufafanuzi!!umefunga mjadala mkuu!!
Acha na sisi tukuombe msamaha kwa kuwa inaonyesha dhahiri una upungufu wa akili. Sukari na Watumishi hewa utadiscuss vipi kwenye jukwaa la Celebrity? Au hujui nia na madhumuni ya hili jukwaa ?Samhani mkuu kama nita kuudhi,lakn kwa sasa sisi watanzania tuelekeze jitihada zetu katika kujadili tatizo la SUKARI NA WATUMISHI HEWA NA SIO NDOA YA JAY Z NA BEYONCE.....muda tuliopewa ni mdogo xana
Kila mrembo Kuna anayemzidi uzuriDuuu hata wanawake warembo nao yanawakuta?
Acha na sisi tukuombe msamaha kwa kuwa inaonyesha dhahiri una upungufu wa akili. Sukari na Watumishi hewa utadiscuss vipi kwenye jukwaa la Celebrity? Au hujui nia na madhumuni ya hili jukwaa ?
Hayo unayoyataka na uliyolipwa kuyaendeleza humu nenda kwenye jukwaa la siasa na habari mchanganyiko
KWANI HUJUI WANOFICHA SUKARI NI MACELEBRITY? AU HUJUI MAANA YA CELEB?Samahani Ikhlasi, nakusihi uache uongo na pretending. Watu walioelekeza jitihada kwenye sukari hawaingii CELEBRITY FORUM.
Nenda jukwaa la biashara au siasa.... Otherwise wacha UNAFIKI
Samahani mkuu lakini hili ni jukwaa la Celebrities, sio siasa...Samhani mkuu kama nita kuudhi,lakn kwa sasa sisi watanzania tuelekeze jitihada zetu katika kujadili tatizo la SUKARI NA WATUMISHI HEWA NA SIO NDOA YA JAY Z NA BEYONCE.....muda tuliopewa ni mdogo xana
Samhani mkuu kama nita kuudhi,lakn kwa sasa sisi watanzania tuelekeze jitihada zetu katika kujadili tatizo la SUKARI NA WATUMISHI HEWA NA SIO NDOA YA JAY Z NA BEYONCE.....muda tuliopewa ni mdogo xana
Samhani mkuu kama nita kuudhi,lakn kwa sasa sisi watanzania tuelekeze jitihada zetu katika kujadili tatizo la SUKARI NA WATUMISHI HEWA NA SIO NDOA YA JAY Z NA BEYONCE.....muda tuliopewa ni mdogo xana[/QUOTE
Pengine una shauri mambo ya mazuri ya maana ila jukwaa ulilo simamia silo,usije ukaanzishiwa mashambulizi wahi kule.