The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Mwenyekiti wa UVCCM Mohammed Kawaida kupitia mtandao wa Instagram akijibu post ya Twaha Mwaipaya ambaye alichapisha video iliyorekodiwa katika eneo la Kiluvya Madukani jijini Dar es salaam ambapo inaonesha tukio la utekaji ambalo halikufanikiwa, Kawaida amesema
"Hii ni movie kama movie nyengine tuuu munazoendelea kutengeneza kwa lengo la kupata huruma kutoka kwa wananchi, ndugu yangu @twahamwaipaya tukutane serikali za mtaa. Watanzania wanahitaji maendeleo na sio maigizo ya kutengeneza"
Pia soma: MAKALA: Ni kujidanganya kama Taifa kusema mauaji na utekaji ni mambo ya kawaida
"Hii ni movie kama movie nyengine tuuu munazoendelea kutengeneza kwa lengo la kupata huruma kutoka kwa wananchi, ndugu yangu @twahamwaipaya tukutane serikali za mtaa. Watanzania wanahitaji maendeleo na sio maigizo ya kutengeneza"
Pia soma: MAKALA: Ni kujidanganya kama Taifa kusema mauaji na utekaji ni mambo ya kawaida