The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
lakini wamejulikana waliotaka kutekaKwa Uandishi huo huyu Bw mdogo atakuwa Mzanzibar. Ni ishara tosha hawa watu hawana utu wala huruma kwa Watanganyika tuchukue tahadhari kubwa hawa viumbe watatuua watumalize, hawana utu wala tone la huruma mioyoni mwao.
Kwahiyo mmemuua katibu wenu wa kilolo ili mfanye maigizo.Kweli kabisa
Wazanzibari huwa wanajijali wao ni wabinafsi.Kwa Uandishi huo huyu Bw mdogo atakuwa Mzanzibar. Ni ishara tosha hawa watu hawana utu wala huruma kwa Watanganyika tuchukue tahadhari kubwa hawa viumbe watatuua watumalize, hawana utu wala tone la huruma mioyoni mwao.
Kawaida ni aina vijana wa KAWAIDA waliojaa chama cha interahamweMwenyekiti wa UVCCM Mohammed Kawaida kupitia mtandao wa Instagram akijibu post ya Twaha Mwaipaya ambaye alichapisha video iliyorekodiwa katika eneo la Kiluvya Madukani jijini Dar es salaam ambapo inaonesha tukio la utekaji ambalo halikufanikiwa, Kawaida amesema
"Hii ni movie kama movie nyengine tuuu munazoendelea kutengeneza kwa lengo la kupata huruma kutoka kwa wananchi, ndugu yangu @twahamwaipaya tukutane serikali za mtaa. Watanzania wanahitaji maendeleo na sio maigizo ya kutengeneza"
Pia soma: MAKALA: Ni kujidanganya kama Taifa kusema mauaji na utekaji ni mambo ya kawaida
View attachment 3151180
Kawaida ni mzenji?Tangu lini Mzanzibari akawa na huruma kwa Watanganyika??
Na ile ya Iringa ya mtu kutwangwa shaba anasemaje?Mwenyekiti wa UVCCM Mohammed Kawaida kupitia mtandao wa Instagram akijibu post ya Twaha Mwaipaya ambaye alichapisha video iliyorekodiwa katika eneo la Kiluvya Madukani jijini Dar es salaam ambapo inaonesha tukio la utekaji ambalo halikufanikiwa, Kawaida amesema
"Hii ni movie kama movie nyengine tuuu munazoendelea kutengeneza kwa lengo la kupata huruma kutoka kwa wananchi, ndugu yangu @twahamwaipaya tukutane serikali za mtaa. Watanzania wanahitaji maendeleo na sio maigizo ya kutengeneza"
Pia soma: MAKALA: Ni kujidanganya kama Taifa kusema mauaji na utekaji ni mambo ya kawaida
View attachment 3151180