Kufufua gari na kuipaka rangi

Kufufua gari na kuipaka rangi

NYAGI DRY

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2011
Posts
379
Reaction score
165
Salama wanajukwaa,

Nimejiangalia nimeona siwezi kununua land Cruiser amazon au jamii ya zile gari.

Lakini nimejiwa na wazo nitafute gar kama hiyo ambayo imekufa ninunue bodi lets say mil 3 au 4 then nikanunue engine mpya mil 5 matengenezo niweke mil 5 rangi pamoja na kumodify nipeleke kwa gereji zile nzuri kama safari automotive kwa ryder au hata dicksound au kwa wengine ambao hawana majina ila ni watu hatari kwa hizo kazi hasa vijana wa Arusha.

Hebu nipeni mawazo yenu manake niko njiapanda zile gari ni ghali sana zikiwa mpya sasa na uwezo wa kumiliki sina na ninayapenda mno.
 
Salama wanajukwaa,

Nimejiangalia nimeona siwez kununua land Cruiser amazon au jamii ya zile gari.

Lakini nimejiwa na wazo nitafute gar kama hiyo ambayo imekufa ninunue bodi lets say mil 3 au 4 then nikanunue engine mpya mil 5 matengenezo niweke mil 5 rangi pamoja na kumodify nipeleke kwa gereji zile nzuri kama safari automotive kwa ryder au hata dicksound au kwa wengine ambao hawana majina ila ni watu hatar kwa hizo kazi hasa vijana wa Arusha.

Hebu nipen mawazo yenu manake niko njiapanda zile gar ni ghali sana zikiwa mpya sasa na uwezo wa kumilik sima na ninayaoenda mno
Unaota wewe engine ya Hz1 na gia box yake kutoka dubai ni 15m hadi 18m, mitambo ya Ac yote ni 4 to 5m viti 2m, dashboard mpya ya dubai 5m nk. Hiyo biashara unayotaka kuingia utaumia bure
 
Kwa 5M hiyo huwezi kupata engine ya hiyo gari hata mswaki ni ngumu kwa hela hiyo. Ongeza budget yako. Hapo kwenye body unaweza kupata pamoja na matengenezo kwa hiyo hela utatoboa. Hapo bado seat na roof kuweka iwe safi.

N:B Ukifanikiwa nicheki nikupigie rangi safi sana utapenda.
 
Na mimi nataka nifufue hii ya kwangu ya enzi zile wakati nikiwa tajiri😁😁😁
AAYFBk.jpeg
 
Salama wanajukwaa,

Nimejiangalia nimeona siwez kununua land Cruiser amazon au jamii ya zile gari.

Lakini nimejiwa na wazo nitafute gar kama hiyo ambayo imekufa ninunue bodi lets say mil 3 au 4 then nikanunue engine mpya mil 5 matengenezo niweke mil 5 rangi pamoja na kumodify nipeleke kwa gereji zile nzuri kama safari automotive kwa ryder au hata dicksound au kwa wengine ambao hawana majina ila ni watu hatar kwa hizo kazi hasa vijana wa Arusha.

Hebu nipen mawazo yenu manake niko njiapanda zile gar ni ghali sana zikiwa mpya sasa na uwezo wa kumilik sima na ninayaoenda mno
Chunguza ni idara gani ya Serikali ambayo wanazo hizo Gari kwa wingi weka 10M yako mfukoni anza mchakato utakuja kunikumbuka.
 
gharama utazoingia ni aheri utafte million 25 uchukue 100 series toka kwa mtu naamini ziko nyingi tu engine utapata aidha ya 1hz au 1hd-fte kulingana na bahati yako.
 
Back
Top Bottom