Kufuga au duka

Kufuga au duka

ILUVUG

Member
Joined
May 4, 2011
Posts
17
Reaction score
4
Salaaam wana jamii forum...nina mtaji wa sh mil 5 nina ideas kama mbili hivi je nifuge nguruwe kule shambani kisarawe au niungane na best yangu tufungue duka la nguo za watoto.

Natumaini mtanipa ushirikiano na ushauri wa kutosha.
 
Back
Top Bottom