MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,537
- 8,824
Hii nchi wajinga ni wengi mno na hawataisha, yaani mtu hawezi hata ku-reason. Kweli kama kilimo kinalipa kuna mtu kweli atanyanyua mdomo kusema njooni tuwalimie kwa niaba yenu?
Au kama ufugaji wa kuku unalipa kuna atakayehangaika na watu au atataka sokoni awe peke yake na apige pesa?
Sijawahi sikia Bakhresa anasema juice zinalipa sana na Watanzania wanaotaka kuwekeza wamuone.
Hii nchi ina watu wavivu na wajinga kupindukia, na hawataisha milele hadi siku ya kiama.
Au kama ufugaji wa kuku unalipa kuna atakayehangaika na watu au atataka sokoni awe peke yake na apige pesa?
Sijawahi sikia Bakhresa anasema juice zinalipa sana na Watanzania wanaotaka kuwekeza wamuone.
Hii nchi ina watu wavivu na wajinga kupindukia, na hawataisha milele hadi siku ya kiama.