Kufukuzwa kwa Halima Mdee na Wenzake 18 na mkanganyiko wa Ubunge wao

Waende wakadai hao zao Mahakamani ikiwa ni pamoja na kudai fidia kutoka CHADEMA kwa kuchafuliwa katika jamii kuhusiana na madai ya KUGHUSHI nyaraka na mhuri. Hii ni scandalous na udhalilishaji kwa Wabunge hao 19. Binafsi naona CHADEMA watakuwa na kesi ya kujibu kwani ni wao, CHADEMA, ndio watakuwa na kazi ya kuihakikishia Mahakama kuwa watuhumiwa walifanya forgery ya aina fulani. The onus will be on CHADEMA side.
 
Heading ya Stori haiendani na Content. Hujazungumzia kabisa mkanganyiko wa Ubunge wao. Nadhani ulipaswa kuandika tu CDM WALIONBE RADHI BUNGE NA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI
 
Akili kubwa sana .... Udadisi wa kina kabisa. Shukran!
 
Heading ya Stori haiendani na Content. Hujazungumzia kabisa mkanganyiko wa Ubunge wao. Nadhani ulipaswa kuandika tu CDM WALIONBE RADHI BUNGE NA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI
[emoji23][emoji23][emoji23] hahahhaa Nguruka wa Morogoro
Mwisho wa hoja huwa ni mwanzo wa hoja nyingine natumai kuona andiko lako litakalojikita moja kwa moja katika content!
 
Hivi hakuna wa kulifungulia kesi Jambo hili watu tutazoea kuchezea sheria za Nchi na kuzifanya tunavyotaka
 
Kama vile walinisikia! Si unaona walivyo wapiga CHADEMA goli la kisigino!? Tungoje tuone hii ngom!!a au filamu (kadri utakavyo penda), itakavyo kwenda!
 

Baada ya kutafakari ukaona uanzishie uzi haya mawazo yako.
 
Kwakuwa ni mwana umoja kama SII mwanachukua chako mapema🙄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…