Kufukuzwa kwa makocha wa kigeni nchini

Tareeq

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2010
Posts
828
Reaction score
408
Ninakumbuka hapo zamani sijui ni lini but inawezakuwa miaka ya 1980 hivi Simba palikuwa na Kocha mmoja MZUURI MNOakiitwa Nnabi Kamara ambaye alitengeneza backline kiboko sana ya akina Aloo Mwitu , Hamis Askari nk na kule Yanga nadhani alikuwa Tambwe Leya kukazuka kuropokaropoka kwa makocha hawa Dooo serikali iliwapa saa48 kuondoka , hebu mwenye taarifa nzuri anijuze
Nikirejea manenonmaneno ya Zahera na taasisi ya TFF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…