Ninakumbuka hapo zamani sijui ni lini but inawezakuwa miaka ya 1980 hivi Simba palikuwa na Kocha mmoja MZUURI MNOakiitwa Nnabi Kamara ambaye alitengeneza backline kiboko sana ya akina Aloo Mwitu , Hamis Askari nk na kule Yanga nadhani alikuwa Tambwe Leya kukazuka kuropokaropoka kwa makocha hawa Dooo serikali iliwapa saa48 kuondoka , hebu mwenye taarifa nzuri anijuze
Nikirejea manenonmaneno ya Zahera na taasisi ya TFF