ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Kwanza kafukuzwa Zahera,mara Upande wa pili nao wamemfukuza Patric mwalimu aliyeipeleka simba ktk hatua ya fainali za klabu bingwa afrika katika historia baada ya miaka mingi..leo ati anaambiwa hafai aondoke!
Hivi tatizo ni walimu kweli?Juzi hapa tumeshuhudia Yanga ikihangaika kutafuta kuishinda timu ndogo na mpya kwenye ligi Kmc na kuishia suluhu..!
Hivi mnaonaje viwango vya wachezaji wetu wazawa hapa tz?
Hadi Leo Ngasa,Kaseja wanaanza first eleven!
Sie wengine tumejikita ktk kufuatilia na kushabikia soka la ulaya miaka mingi..kwa kweli si kwa ubaya lakini niseme huwa nashangaa sana watu wanaoshabikia soka la tz..siwaelewi kabisa.
Watu watafakari hivi hizi timu zitakuja kaana makocha wazuri kweli?
Simba unamuondoa Patric kweli? Marcio Maximo??!..pole Tanzania.
Hivi tatizo ni walimu kweli?Juzi hapa tumeshuhudia Yanga ikihangaika kutafuta kuishinda timu ndogo na mpya kwenye ligi Kmc na kuishia suluhu..!
Hivi mnaonaje viwango vya wachezaji wetu wazawa hapa tz?
Hadi Leo Ngasa,Kaseja wanaanza first eleven!
Sie wengine tumejikita ktk kufuatilia na kushabikia soka la ulaya miaka mingi..kwa kweli si kwa ubaya lakini niseme huwa nashangaa sana watu wanaoshabikia soka la tz..siwaelewi kabisa.
Watu watafakari hivi hizi timu zitakuja kaana makocha wazuri kweli?
Simba unamuondoa Patric kweli? Marcio Maximo??!..pole Tanzania.