Samora vipi wewe na chupi ya mtumba? A NO NO au a Yes sometimes?
Huwezi kujua kaka, furahia kwa macho tu. Na ikifika usawa ule unahakikisha kuna Plastik ya kuhakikisha inakukinga. :teeth:
Lakini ukiona mtu anakuomba pesa ya chips zege lakini chupi Valentino au Armani unajua huyu itakuwa ndo akina waleee ....:embarrassed:
Huwezi kujua kaka, furahia kwa macho tu. Na ikifika usawa ule unahakikisha kuna Plastik ya kuhakikisha inakukinga. :teeth:
Lakini ukiona mtu anakuomba pesa ya chips zege lakini chupi Valentino au Armani unajua huyu itakuwa ndo akina waleee ....:embarrassed:
unataka kuvaa chupi mpaka uimalize mwenyewe pesa yako iiishe au siyo? ninyi ndo mnatumia mswaki mmoja miezi sita kisha umeununua pesa nyingi na ni fashionableUkinunua chupi ya mtumba una uwezo wa kuivaa hadi 6 months but chupi ya mchina ya sh 500 haimalizi mwezi! Ninaposema fashionable kama wewe ni mwanamke au mwanaume unayejua fashion utakuwa umenielewa, unless uniambie wewe ni padri!
leo nimejifunza hapa kumba kuna chupi za madesigner pia, sijui hizo valentino na armani zinaonekanaje mwenzanu mie mshamba!
hizo za mitumba ziko sana mijini huku ambao mshajua fashionUkinunua chupi ya mtumba una uwezo wa kuivaa hadi 6 months but chupi ya mchina ya sh 500 haimalizi mwezi! Ninaposema fashionable kama wewe ni mwanamke au mwanaume unayejua fashion utakuwa umenielewa, unless uniambie wewe ni padri!
chupi hizi za 500 tumevaa sana vijijini huko na ndio zipo, labda kama kijiji nilichotoka mie kimepambazuka, lkn chupi za mitumba kule ni adimu.Nilivyozungumzia miezi sita nilikuwa nazungumza kwa watz wote coz nina uhakika asilimia 80 ya watz ni maskini. Hawana uwezo wa kununua chupi kila MWEZI. Mimi mwenyewe siwezi vaa chupi miezi 6! Lakini hiyo hainifanyi nikanunue lonya la 500 kisa sitaki kuivaa muda mrefu! Fashionable ni namna unavyoonekana unapoivaa. Am sure many girlz wants 2 look sexy in underwearz au unasemaje?
hizo za mitumba ziko sana mijini huku ambao mshajua fashion
chupi hizi za 500 tumevaa sana vijijini huko na ndio zipo, labda kama kijiji nilichotoka mie kimepambazuka, lkn chupi za mitumba kule ni adimu.
kuchakaa kwa chupi ni utunzaji tu jamani, mie nilikuwa na chupi za since form 1 hadi namaliza 4 na kuendelea
Jamani mimi sivai za mtumba ila nazungumza kwa niaba ya wavaaji. Afterall kwani ishu ni nini hapa? MARADHI? Kama tungeogopa sana maradhi tungeenda huko marestaurant na vijiko vyetu , glass zetu nk. Una uhakika kijiko unachopewa kimetumika na nani? Kimeoshewa maji gani? Wa2 mnavyo/wanavyo chukua sex workers mnajua wamepitiwa na wa2 gani? Ulisikia wapi mtu kapata maradhi kwa kuvaa second hand? Acheni hizooooooooo. Acheni tuv.. oh sorry wavae!Ndo maana nikauliza, hizo kufuli kama zimevaliwa na mtu unaemjua unaweza kuvaa akishaacha yeye au kwa kuwa hizi kavaa Mzungu?
Lol
Watakwambia kwani si ishaoshwa, tatizo kitu gani bwana
Jamani mimi sivai za mtumba ila nazungumza kwa niaba ya wavaaji. Afterall kwani ishu ni nini hapa? MARADHI? Kama tungeogopa sana maradhi tungeenda huko marestaurant na vijiko vyetu , glass zetu nk. Una uhakika kijiko unachopewa kimetumika na nani? Kimeoshewa maji gani? Wa2 mnavyo/wanavyo chukua sex workers mnajua wamepitiwa na wa2 gani? Ulisikia wapi mtu kapata maradhi kwa kuvaa second hand? Acheni hizooooooooo. Acheni tuv.. oh sorry wavae!
Ufukara mbaya sana....
ndio hapo sasa, na huko vijijini pia pamoja na umasikini wao hawaugui fungus ovyo!Zitaacha wapi kuchakaa wakati zinalazwa kutwa nzima kwenye Jic na Foma!
Lazima ujiulize kiwango cha stain kwenye hiyo nguo kuhitaji that kind of treatment