kufumania

Washawasha

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2006
Posts
16,717
Reaction score
13,176
Habari za asubuhi?nadhani umeamka salama na unajiandaa kuelekea ktk ujenzi wa Taifa,nilikuwa nina swali ambalo lnahtaji majbu yenu.... Hivi utakapomfumania Mkeo/demu/mume/bwana wako live akiwa anashughulika/kakumbatiwa nini utakifanya ktk wakati mgumo huo?
 
Huwa hakuna maandalizi ya kitakachotokea. Kitatokea kitakachookea eneo la tukio
 
I'll just walk away, na kumsubiri home hapo ndio mengine yatafata
 
na kwanini ifike demu kuliwa na wengine au
inakuwa humtoshelezi au hatosheki? na mume
naye hatoshelezwi na demu wake au hatosheki?

au nimatamanio tu?

hali ngumu kuamuwa, unaweza ukauwa.
ikiwa ni mimi, nitamwambia jamaa atulie na
mimi niweke BOLT yangu ndani ya NUT yake:hand:
 
nitampa silence of torture,ingawa ni ngumu.hiyo itamfanya aishi kwa wasiwasi.either atarudia au ataacha kabisa.Au atajigonga gonga mwenyewe
 

Itakuwa tiketi maridaad kabisa!:decision:
 
Nitawaambia oops! Sorry kwa kuwakatishia shughul yenu halafu natoka na sitamuuliza ki2 chochote baadae?
 
Mara nyingi huwa hakuna mwenye jibu kamili kuhusu hilo kutokana na ni suala ambalo linagusa moyo moja kwa moja,pia inategemea na jinsi gani huyo mwenza wako unampenda,kuna wanaozimia,wanaofikia kutaka hata kuua,wanaoamua kuacha kabisa mahusiano na hata wengine huamua kusamehe pale pale na kuendelea na mambo mengine kama hakuna lililotokea.
 
Matamanio kwa kweli yanachangia mtu kwenda kumega tunda nje ya uhusiano.
Na hakuna mwanamume atakayekubali um do wewe peke yako na yeye anakutazama kisa amem do mkeo labda atakuwa kipikipiki toka kitambo,inawezekana yeye hajui kama huyo mwanamke ni mke wa mtu
 
...sawa na ndoto, "huwezi chagua utaiota vipi!"
Ikishakutokea ndipo utajua ukurupuke, ujikojolee, au kuishia 'kuvuta shuka!'
 
ya nini uhangaike, unamsubiri wamalize then kila mtu kivyake ina maana toka anamkubalia jamaa mpaka anaenda kumchanulia wewe tayari alishakushusha thamani.
 
Kama ni mchumba/wife mahusiano yanakuwa yamefika tamati, bt kama ni demu au kimada wangu na mimi navaa kondom naunganisha hapohapo
 
...sawa na ndoto, "huwezi chagua utaiota vipi!"
Ikishakutokea ndipo utajua ukurupuke, ujikojolee, au kuishia 'kuvuta shuka!'
hahahahaha hii ime2lia
 
Kama ni mke wangu itakuwa balaa, ila kama ni mlupo tu naachana nao ingawaje itaniuma.
 
Huwa hakuna maandalizi ya kitakachotokea. Kitatokea kitakachookea eneo la tukio
ndo manake maana unaweza fanya maandalizi uaishia kuzimia na usifanye kitu au ukapokea kipigo kutoka kwa mumeo!!
 
Unawaacha tu unaenda kumsubiri nyumbani
 
Binafsi siwezi kuondoka nitauliza kinachoendelea ili niweze pata majibu kwamba kwann kafanya hayo Na ni mm sababu iliyompelekea kuyafanya coz kuondoka kwangu hakutosaidia kitu yawezekana hata me kuna mambo yamempelekea huyo kuyafaua hayo Kama wasemavyo wahenga dawa ya kutatua Jambo/tatizo ni kulizungumzia ndipo ufumbuzi so kukaa kimya hakutosaidia kinachotakiwa ni kujua chanzo hasa ni mm then maamuzi yako mikononi kwako kusoma/lunula kumbuka hakuna mkamilifu Na daima tunajifunza kutokana n makosa hope umenielewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…