musicarlito
JF-Expert Member
- Dec 29, 2020
- 368
- 556
Wasalaam
Wakuu mwezi huu ni wa heri kweli
Madhehebu makuu mawili kwa asilimia kubwa wako katika mfungo,japo kila moja lina namna yake na makusudi yake,lakini lau wote wanalenga kuwa na mahusiano mazuri na Mungu.
Mungu ni mwanga...tunavyozidi kumkaribia au kuonesha juhudi za kumkaribia,anatumulika na kutusahihisha katika yale yanayopunguza thamani na heshima ya utu wetu mfano ulevi...ukahaba...wizi na majina yote mabaya.
Kufunga ni njia nzuri ya kujidhiri...tunapojidhiri/kujishusha...tunamwachia Mungu nafasi katika maisha yake aoneshe nguvu zake
Namna ambazo zimekuwa ngumu kuzishinda kama ulevi na tabia zozote mbaya,kufunga inaweza kuwa mwanzo mpya wa matumaini...wakristo mnafahamu hapa Mt 17:21
Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga
Kumbe wale mnaotamani kweli kuwa watakatifu mkiamini kuwa hatukamiliki kamwe ila tunakamilishwa na Mungu mwenyewe,tuijaribu njia hii
Samahani msioamini kuwa kuna Mungu au msiomwamini hata kama yupo,sijawalenga katika bandiko hili
Wakuu mwezi huu ni wa heri kweli
Madhehebu makuu mawili kwa asilimia kubwa wako katika mfungo,japo kila moja lina namna yake na makusudi yake,lakini lau wote wanalenga kuwa na mahusiano mazuri na Mungu.
Mungu ni mwanga...tunavyozidi kumkaribia au kuonesha juhudi za kumkaribia,anatumulika na kutusahihisha katika yale yanayopunguza thamani na heshima ya utu wetu mfano ulevi...ukahaba...wizi na majina yote mabaya.
Kufunga ni njia nzuri ya kujidhiri...tunapojidhiri/kujishusha...tunamwachia Mungu nafasi katika maisha yake aoneshe nguvu zake
Namna ambazo zimekuwa ngumu kuzishinda kama ulevi na tabia zozote mbaya,kufunga inaweza kuwa mwanzo mpya wa matumaini...wakristo mnafahamu hapa Mt 17:21
Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga
Kumbe wale mnaotamani kweli kuwa watakatifu mkiamini kuwa hatukamiliki kamwe ila tunakamilishwa na Mungu mwenyewe,tuijaribu njia hii
Samahani msioamini kuwa kuna Mungu au msiomwamini hata kama yupo,sijawalenga katika bandiko hili