Yesu alisema ukifunga jiweke uso wako vizuri kwa mafuta ili mtu asijue unafunga. Ni dhahiri kwa mafundisho yake funga ya mkristo ni suala binafsi na ni siri ya anayefunga.
Vipi leo haya maredio ya makanisa yanatangaza mifungo kila uchwao mara mfungo wa siku ishirini na moja wa mwaka wa utawala, mara mfungo wa siku nzima, mara mfungo wa siku arobaini? Mafundisho ya wapi haya?
Vipi leo haya maredio ya makanisa yanatangaza mifungo kila uchwao mara mfungo wa siku ishirini na moja wa mwaka wa utawala, mara mfungo wa siku nzima, mara mfungo wa siku arobaini? Mafundisho ya wapi haya?