Mtu binafsi anapofunga na kutangazia watu na kila saa kujisemesha semesha oh swaumu kali, oh ngoja nikafuturu hilo ni kosa kubwa ktk ukristo. Kukaa unatia tia huruma unataka kila mtu awe attention na kufunga kwako hilo ni kosa. Ila mifungo ya watu wengi lazima itangazwe, rejea story ya Esta ktk bible, pia Ezra na wengineo.