NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,402
- 4,532
Mtoto wangu hajaenda choo wiki inakaribia kuisha nachanganyikiwa naomba ushauri
Ana miaka 3 wa kiume.Ni mnene kupitiliza.Alikuwa anatumia antibiotic ya kufua na mseto wa malariaMtoto ana umri gani? Amewahi kutumia dawa yoyote? Jibu nikuandikie dawa!
Mpatie gripe water mara mbili Kwa siku Kwa muda wa siku 5Ana miaka 3 wa kiume.Ni mnene kupitiliza.Alikuwa anatumia antibiotic ya kufua na mseto wa malaria
Why mnaruhusu mtoto awe overweight ?Ana miaka 3 wa kiume.Ni mnene kupitiliza.Alikuwa anatumia antibiotic ya kufua na mseto wa malaria