Kufunga mipaka na kuzuia safari za ndege hakujaisaidia Uganda, nini kifanyike?

Kufunga mipaka na kuzuia safari za ndege hakujaisaidia Uganda, nini kifanyike?

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
Ndugu wana JF, hali ya maambukizi ya virusi vya Corona nchini Uganda inaongezeka kwa kasi zaidi kuliko nchi yoyote hapa Afrika mashariki.

Uganda imekua nchi ya mwisho kutangaza kuwepo kwa mgonjwa wa kwanza na imekua nchi ya kwanza Kufunga mipaka yake kabla hata ya kugundua kuwepo kwa mgonjwa nchini humo, lakini chini ya wiki mbili tangu kugundulika kwa mgonjwa wa kwanza, idadi imeongezeka kwa kasi Sana na kufikia wagonjwa 30 hadi leo asubuhi.

Kitu kinachotia wasiwasi na kujiuliza ni vipi idadi hiyo inaongezeka Wakati hakuna wageni wanaoingia nchini Uganda?.

Jambo lingine la kujiuliza ni kwamba, katika nchi zote za EAC, no Uganda pekee ambayo imekua ikikumbwa na Ugonjwa wa Ebola mara kwa mara, tulitegemea Uganda kuwa na uzoefu wa kutosha ktk kukabiliana na magonjwa ya aina hii, lakini ndio nchi inayoathirika kwa kasi zaidi kuliko nchi zingine zote.

Tunafanyaje ili kumshauri Huyu jirani wetu ili ajinusuru na kutunusuru sisi sote?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu wana JF, hali ya maambukizi ya virusi vya Corona nchini Uganda inaongezeka kwa kasi zaidi kuliko nchi yoyote hapa Afrika mashariki.

Uganda imekua nchi ya mwisho kutangaza kuwepo kwa mgonjwa wa kwanza na imekua nchi ya kwanza Kufunga mipaka yake kabla hata ya kugundua kuwepo kwa mgonjwa nchini humo, lakini chini ya wiki mbili tangu kugundulika kwa mgonjwa wa kwanza, idadi imeongezeka kwa kasi Sana na kufikia wagonjwa 30 hadi leo asubuhi.

Kitu kinachotia wasiwasi na kujiuliza ni vipi idadi hiyo inaongezeka Wakati hakuna wageni wanaoingia nchini Uganda?.

Jambo lingine la kujiuliza ni kwamba, katika nchi zote za EAC, no Uganda pekee ambayo imekua ikikumbwa na Ugonjwa wa Ebola mara kwa mara, tulitegemea Uganda kuwa na uzoefu wa kutosha ktk kukabiliana na magonjwa ya aina hii, lakini ndio nchi inayoathirika kwa kasi zaidi kuliko nchi zingine zote.

Tunafanyaje ili kumshauri Huyu jirani wetu ili ajinusuru na kutunusuru sisi sote?

Sent using Jamii Forums mobile app
Idadi hiyo ni takwimu za kweli kutoka uganda. Tupe takwimu za kweli kutoka nchini kwako ili tulinganishe na uganda.

Nina imani hawajapika taarifa ya wagongwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mna waza ya uganda ya kwenu amya oni..bado mna hamini Bongo ni 13 tu
 
Huna akili! Kwa hiyo kama nchi fulani haijafunga mipaka na inaficha takwimu ndiyo tusema kwamba hiyo nchi maambukizi yake yako chini?!
 
Kitu kinachotia wasiwasi na kujiuliza ni vipi idadi hiyo inaongezeka Wakati hakuna wageni wanaoingia nchini Uganda?.
Kosa la kwanza ilikuwa kuconcentrate zaidi kwa wageni kutoka zile nchi 11 or so ambazo walizicategorize kama high risk na kuwaacha wengine waingie kirahisi. Bahati mbaya mgonjwa mmoja wa COVID-19 anaambukiza average ya watu watatu. Baada ya siku kama 10, utashangaa hiyo idadi ya wagonjwa.

So, hizo cases "mpya" za Uganda ni za watu walioambukizwa maybe 2 weeks ago na sasa mdudu ndo anajitutumua. So far maamuzi ya Jiwe ya kuwaforce wageni wote kuwekwa quarantine ni uamuzi mzuri. Sina uhakika kama efforts zimewekwa kote hadi huko kwenye njia za panya au wao wanaangalia Airport tu.
 
Back
Top Bottom