hakyananani usinikumbushe mablia wakati niko vidudu( chekechea) kuna kijamaa kilinivizia na kunipiga ngwala na kukimbia to make things even worse kwao walihama so tulipofungua sikukaona... hakyanani nakatafuta mpaka leo ukimuona mwambie NIKIMKAMATA lazima nimrudishie ngwala kama ule alionipiga kimagendo.... alooo sisahau mpaka leo