msimamia kucha
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 683
- 551
Wakuu habari za kazi, natumai wengi wenu weekend imeisha poa, naombai maoni yenu nina Gari yangu yangu ni Spacio new model natumia Tairi size 14/70/185 sasa uchumi umeyumba kidogo nataka Tairi za upande wa mbele nibadili kwa maana zimechanika kabisa sasa nataka niweke size 14/70/165 Tairi ni mpya kabisa je haitosumbua ufanisi wa gari kwa maana zile za nyuma bado zitakuwa size ileile 14/70/185 bado ziko sawa naombeni ushauri. Jioni njema.