Los santos
JF-Expert Member
- Jan 14, 2021
- 1,167
- 2,591
Aisee nakereka sana na upuuzi wao wa kufungia line yani miezi mitatu tu unakuta line yako kapewa mtu mwingine
Yani kwenye dunia hii ya leo yenye maendeleo kadha wa kadha ambapo mtu anaweza kwenda kenya, Uganda, sudan,America, Europe au hata south africa akakaa miezi kadhaa kama 5 anarudi anakuta line yake imefungwa
Hivi hawa wahusika hawawezi kuweka kwamba line ikikaa miaka 2 au 1 basi waigawe namba ...yani nakereka sana na huu upuuzi wao wa kufungia mapema
Kingine kuna mtindo unamtumia mtu sms yenye mambo kuhusu fedha au namba ya kukutumia hela unakuta haifiki wanaiblock kisa tu kuinasibisha na zile sms za matapeli yani sjui wataalamu wetu akili zao wanaziweka wapi au zimeishia wapi
Kiukweli wataalamu kwenye mitandao ya simu inabidi wajitafakari sana kama wameshindwa kuzuia wezi basi wasisumbue wengine tukiwa tunashughulika na huduma zetu.
Yani kwenye dunia hii ya leo yenye maendeleo kadha wa kadha ambapo mtu anaweza kwenda kenya, Uganda, sudan,America, Europe au hata south africa akakaa miezi kadhaa kama 5 anarudi anakuta line yake imefungwa
Hivi hawa wahusika hawawezi kuweka kwamba line ikikaa miaka 2 au 1 basi waigawe namba ...yani nakereka sana na huu upuuzi wao wa kufungia mapema
Kingine kuna mtindo unamtumia mtu sms yenye mambo kuhusu fedha au namba ya kukutumia hela unakuta haifiki wanaiblock kisa tu kuinasibisha na zile sms za matapeli yani sjui wataalamu wetu akili zao wanaziweka wapi au zimeishia wapi
Kiukweli wataalamu kwenye mitandao ya simu inabidi wajitafakari sana kama wameshindwa kuzuia wezi basi wasisumbue wengine tukiwa tunashughulika na huduma zetu.