Kufungiwa kwa Diamond Platnumz: Kwanini watu wengi wana furaha ya chuki?

Hiki kijamaa kilikuwa kimenyanyua kwapa mno kaaah..! Kilitaka kuwa ya Gov...sisi tunahangaika kupiga promo juu ya usafiri wa anga ..mpaka tukampiga fitna lile kampuni jingine lisepe....chenyewe kina leta fyoto..fyoto...shwain tandalabeta.....JPM huyu dogo mminye kisawa sawa awe na adabu....
 
Mbona kwenye ujumbe wangu nmekuorozeshea vitu vya kujifunza au umeshindwa kuchambua?
Haya onyesha sehemu uliyoorodhesha (siyo kuorozesha).
 
Moja katika matatizo makubwa ya vijana wa TANZANIA NI KUWA HAWAJIJUI WAPI WANAELEKEA hivi lila siku media zote nchini badala ya kuzumzia wapi waendeleze maendeleo na wapi walikosea warekebishe at least wafikie kuwakaribia wenzetu akina angola, Mozambique na Ethiopia kiuchumi na kwa kuwekeza kwa watu wa nje kwa viwanda kama RAIS WETU anahimza ili watoto wapate ajira utaona media nyingi nchini zinazunhumzia individuality ya MTU NASSIB NA WEMA BUS end of the topic unajiuliza hizo habari au matokea yamemnufaisha nani habari za diamond kafanya hichi au kile ,hapo utaona different IQ ya watanzania na wakenya kwa jinsi wenzetu wako mbele sana hawana time ya kumzungumzia mtu balinwqnqzungumzia jinsi gani serikali yao Ifanye nini ili vijana wapate ajira
 
Ukipita kwenye mitandao unaona waziwazi inawafurahisha watu si kwa sababu kavunja maadili hapana. Ni furaha tu kafungiwa.

Leo inasambaa barua ya BASATA kusisitiza kafungiwa, furaha inazidi.

Jamani tuache roho mbaya.. kwanini lakini?

Mwalike aje awaimbie wanao matusi!
 
Mbona hamsemi ile furaha na kicheko Cha diamond baada ya clouds kuzuiwa kufanya show kwenye viwanja vya leaders...

Kwahiyo tuseme naye diamond anachuki binafsi juu ya clouds..ama akicheka na kufurahi diamond juu ya mabaya ya watu fulani ni sawa ila watu fulani wakicheka juu ya mabaya yake ni kosa!?

Mbwa kala mbwa jamaa anajifanyisha jeuri sanaaa... Kuwatunishia basata... Alafu watu wengine haya mambo wanayaingiza na maswala ya kisiasa alivyo kua karibu Sanaa na bashite..ambaye watu wengi ni kero kwao... RAFIKI WA ADUI YAKO NAYE NI ADUI YAKO
 
Kuna watu wanamwona diamond mungu ..kwamba asichukiwe...akati Hata mungu kuna binadamu wanamchukia.....na watanzania wa dizaini hiyo wameendekeza ushabiki mbele kuliko linaloonekana kua ni janga....hua ni low IQ
 
Wee jamaa huko humble sana. Kuna wakati nilitakaga kuingia anga zako humu nikapiga breki baada ya kukuchunguza sijui unakumbuka
 
Alidhani Basata ni ya Baba akee kwamba Vipesa alivyonavyo kila siku anategemea akifanya Kosa atakuwa analipa tu faini bhasi anaachiwa kumbe sometimes Pesa inakuwa haina Nguvu tena juu ya Sheriaa..!!

Diamond anatakiwa ajifunze kitu kwa alikiba.. Kuhusu Matumizi ta Mtandao... Kuhusu Mahusiano.. Kuhusu kuheshimu wengine...!!
 
si nasikia kasamehewa haraka ..na anapiga vizuri tu shoo??
zkama ni kweli ...basi hatajifunza kitu!
Wangempa mda ajitafakari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…