Kufungiwa kwa gazeti la UHURU jicho la tatu

Kufungiwa kwa gazeti la UHURU jicho la tatu

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Ninanusa mpango wa kuanza kufungiafungia vyombo vya habari ambavyo vinakosoa serikali hii, lakini ili hilo lifanikiwe ni lazima serikali ya CCM ijifanye iko fair, ndiyo eti chama kilichukua hatua kwa gazeti lake.

Hii issue imesukwa kiustadi ili ije iwe fimbo ya kuvichapia vyomb vingine watakavyovitarget huko mbeleni, kwamba hata sisi chombo chetu tumewahi kukiwajibisha je nyie ni nani?

Lakini pia taarifa hii ya gazeti la UHURU kuwa Samia hana mpango wa kugombea, ni mbinu ileile ya kuwatoa watu kwenye reli. Samia alichemsha alivyodai kuwa Watanzania wamekubali tozo za miamala, hii kitu ingerudi kwenye midomo ya wananchi tena, watu wangeshtuka na kuanza kuwa sensitive tena na utumaji wa hela kupitia hizo simu, lakini pia ingemuonyesha rais kuwa ni kigeugeu maana ni majuzi tu alisema kuwa kasikia kilio cha watu kuhusu tozo na analifanyia kazi. Sasa ili kuspin hizi taarifa ilibidi itengenezwe stori nyingine feki ili kudilute huu mjadadal

Ndugu zangu, Gazeti kama la UHURU haliwezi kamwe kuandika habari hiyo bila kupewa go ahead na "wakubwa", hiyo news inahusu career ya rais na Mwenyekiti wa CCM, wasingethubutu kuiandika kama wangekuwa hawajui wanafanya nini.

Hii ni game ya kisiasa tu tunachezewa, people wake up
 
Lisingefungiwa mngeanza kulalamika pia, acheni mama aijenge nchi,toolbox tayari anayo mkononi
20210811_214000.jpg
 
Wanatuandaa kisaikolojia ili wakianza kuyafungia magazeti mengine tuwe tayari kushangilia pia.

Kama walivyofanya kwa Sabaya, halafu wakaenda kwa Mbowe. Kwahiyo hapo kuna Gazeti linatafutwa Uhuru limetumika kama chambo tu
 
Ninanusa mpango wa kuanza kufungiafungia vyombo vya habari ambavyo vinakosoa serikali hii, lakini ili hilo lifanikiwe ni lazima serikali ya CCM ijifanye iko fair, ndiyo eti chama kilichukua hatua kwa gazeti lake.

Hii issue imesukwa kiustadi ili ije iwe fimbo ya kuvichapia vyomb vingine watakavyovitarget huko mbeleni, kwamba hata sisi chombo chetu tumewahi kukiwajibisha je nyie ni nani?

Lakini pia taarifa hii ya gazeti la UHURU kuwa Samia hana mpango wa kugombea, ni mbinu ileile ya kuwatoa watu kwenye reli. Samia alichemsha alivyodai kuwa Watanzania wamekubali tozo za miamala, hii kitu ingerudi kwenye midomo ya wananchi tena, watu wangeshtuka na kuanza kuwa sensitive tena na utumaji wa hela kupitia hizo simu, lakini pia ingemuonyesha rais kuwa ni kigeugeu maana ni majuzi tu alisema kuwa kasikia kilio cha watu kuhusu tozo na analifanyia kazi. Sasa ili kuspin hizi taarifa ilibidi itengenezwe stori nyingine feki ili kudilute huu mjadadal

Ndugu zangu, Gazeti kama la UHURU haliwezi kamwe kuandika habari hiyo bila kupewa go ahead na "wakubwa", hiyo news inahusu career ya rais na Mwenyekiti wa CCM, wasingethubutu kuiandika kama wangekuwa hawajui wanafanya nini.

Hii ni game ya kisiasa tu tunachezewa, people wake up
Gazeti la Uhuru limejifungia! 😁😁😁
 
CCM wanadhani watanzania ni wale wale wa 1980 kwamba kupata taarifa ni hadi waende kwa mjumbe kufanya kazi ndio wapate access ya redio kusikiliza taarifa ya habari

Hapa wanajaribu kudivert attention ya igizo la Kikeke na blunder alizokua anajibu boss wao
 
Ninanusa mpango wa kuanza kufungiafungia vyombo vya habari ambavyo vinakosoa serikali hii, lakini ili hilo lifanikiwe ni lazima serikali ya CCM ijifanye iko fair, ndiyo eti chama kilichukua hatua kwa gazeti lake.

Hii issue imesukwa kiustadi ili ije iwe fimbo ya kuvichapia vyomb vingine watakavyovitarget huko mbeleni, kwamba hata sisi chombo chetu tumewahi kukiwajibisha je nyie ni nani?

Lakini pia taarifa hii ya gazeti la UHURU kuwa Samia hana mpango wa kugombea, ni mbinu ileile ya kuwatoa watu kwenye reli. Samia alichemsha alivyodai kuwa Watanzania wamekubali tozo za miamala, hii kitu ingerudi kwenye midomo ya wananchi tena, watu wangeshtuka na kuanza kuwa sensitive tena na utumaji wa hela kupitia hizo simu, lakini pia ingemuonyesha rais kuwa ni kigeugeu maana ni majuzi tu alisema kuwa kasikia kilio cha watu kuhusu tozo na analifanyia kazi. Sasa ili kuspin hizi taarifa ilibidi itengenezwe stori nyingine feki ili kudilute huu mjadadal

Ndugu zangu, Gazeti kama la UHURU haliwezi kamwe kuandika habari hiyo bila kupewa go ahead na "wakubwa", hiyo news inahusu career ya rais na Mwenyekiti wa CCM, wasingethubutu kuiandika kama wangekuwa hawajui wanafanya nini.

Hii ni game ya kisiasa tu tunachezewa, people wake up
 
Ninanusa mpango wa kuanza kufungiafungia vyombo vya habari ambavyo vinakosoa serikali hii, lakini ili hilo lifanikiwe ni lazima serikali ya CCM ijifanye iko fair, ndiyo eti chama kilichukua hatua kwa gazeti lake.

Hii issue imesukwa kiustadi ili ije iwe fimbo ya kuvichapia vyomb vingine watakavyovitarget huko mbeleni, kwamba hata sisi chombo chetu tumewahi kukiwajibisha je nyie ni nani?

Lakini pia taarifa hii ya gazeti la UHURU kuwa Samia hana mpango wa kugombea, ni mbinu ileile ya kuwatoa watu kwenye reli. Samia alichemsha alivyodai kuwa Watanzania wamekubali tozo za miamala, hii kitu ingerudi kwenye midomo ya wananchi tena, watu wangeshtuka na kuanza kuwa sensitive tena na utumaji wa hela kupitia hizo simu, lakini pia ingemuonyesha rais kuwa ni kigeugeu maana ni majuzi tu alisema kuwa kasikia kilio cha watu kuhusu tozo na analifanyia kazi. Sasa ili kuspin hizi taarifa ilibidi itengenezwe stori nyingine feki ili kudilute huu mjadadal

Ndugu zangu, Gazeti kama la UHURU haliwezi kamwe kuandika habari hiyo bila kupewa go ahead na "wakubwa", hiyo news inahusu career ya rais na Mwenyekiti wa CCM, wasingethubutu kuiandika kama wangekuwa hawajui wanafanya nini.

Hii ni game ya kisiasa tu tunachezewa, people wake up
Mpango mzima utajulikana tu baadaye!
Hakuna siri duniani.
 
Namuonea sana huruma huyu mama wa kizanzibar kwa kuwa rais wa kwanza mwanamke dikteta Tanzania
 
Back
Top Bottom