Kufungiwa kwa vyuo 40

biee

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2013
Posts
332
Reaction score
116
Habari zenu humu. Jumapili nilisikia taarifa ( ITV ) kuwa kuna vyuo 40 vya certificate had digrii ambavyo vimefungiwa kutokana na kukosa sifa. Mwenye kuvifahamu vyuo hivyo tafadhali naomba ani-update:
 
Habari zenu humu. Jumapili nilisikia taarifa ( ITV ) kuwa kuna vyuo 40 vya certificate had digrii ambavyo vimefungiwa kutokana na kukosa sifa. Mwenye kuvifahamu vyuo hivyo tafadhali naomba ani-update:

Nenda website ya nacte au google kufungiwa kwa vyuo 2015. Utaona habari husika hapo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…