Habari zenu humu. Jumapili nilisikia taarifa ( ITV ) kuwa kuna vyuo 40 vya certificate had digrii ambavyo vimefungiwa kutokana na kukosa sifa. Mwenye kuvifahamu vyuo hivyo tafadhali naomba ani-update:
Habari zenu humu. Jumapili nilisikia taarifa ( ITV ) kuwa kuna vyuo 40 vya certificate had digrii ambavyo vimefungiwa kutokana na kukosa sifa. Mwenye kuvifahamu vyuo hivyo tafadhali naomba ani-update: