Principal Focus
JF-Expert Member
- Jan 4, 2013
- 925
- 550
Habari Wana JF!
Katika sakata hili linaloendelea la kufungiwa wimbo wa "Mwanza Nyegezi" kutoka usafini WCB na jinsi walivyokuwa wanajibizana mitandaoni kati ya WCB na Basata hiyo jana, nimepata shida sana kujua mchango wa wajumbe wa bodi walioteuliwa na Mh Mwakyembe kama nao walihusika vipi katika uamuzi wa kutetea ama kuhalalisha kile Basata walichokifanya kwenye maamuzi yao.
Hii bodi naomba kujuzwa mchango wake katika kufungiwa wimbo huu. Kwanini sisi Tanzania tusifike mahali tukaweka age rate kwenye vipindi vyetu tunavyotazama na kusikiliza katika luninga na redio!?
Katika sakata hili linaloendelea la kufungiwa wimbo wa "Mwanza Nyegezi" kutoka usafini WCB na jinsi walivyokuwa wanajibizana mitandaoni kati ya WCB na Basata hiyo jana, nimepata shida sana kujua mchango wa wajumbe wa bodi walioteuliwa na Mh Mwakyembe kama nao walihusika vipi katika uamuzi wa kutetea ama kuhalalisha kile Basata walichokifanya kwenye maamuzi yao.
Hii bodi naomba kujuzwa mchango wake katika kufungiwa wimbo huu. Kwanini sisi Tanzania tusifike mahali tukaweka age rate kwenye vipindi vyetu tunavyotazama na kusikiliza katika luninga na redio!?