Kufungiwa mshahara kwa walimu wa shule binafsi wakati wana mikataba imekaaje kisheria?

Kufungiwa mshahara kwa walimu wa shule binafsi wakati wana mikataba imekaaje kisheria?

zebedayo musibha

Senior Member
Joined
Oct 26, 2019
Posts
111
Reaction score
86
Tangia mashule na vyuo yafungwe kwa dharura ya ugojwa wa CORONA , kuna baadhi ya shule binafsi yaani PRIVATE wafanyakazi wake walimu na wasio walimu wamefungiwa mishahara yaani hawalipwi na wakati wana mikataba na hakuna taarifa yeyote toka kwa uongozi wa shule husika

Je, hili kisheria likoje?

Naomba ufafanuzi wa kisheria kuhusu hili swala.
 
Hiyo ni business to business contracts, obvious kuna kipengele kinaitwa 'force majure' ambacho ni kitaweza kutoa majibu ya swali lako.

Hapo ni kukirejea na kuona nini kimeandikwa tu.

Nafikiri unaweza kuanzia hapo!
 
Back
Top Bottom