Inakuwaje pale nyimbo ya msanii imefungiwa hapa nchini je ataruhusiwa kuipiga au kuicheza nje ya nchi?
Mfano Diamond kafungiwa nyimbo zake flani na huku kachaguliwa kushiriki kuandaa nyimbo ya kombe la Dunia huko Urusi mwaka huu.
Je akiombwa kuimba wimbo uliokwisha fungiwa hapa Tz ataweza kuimba na huku taifa zima linajua Diamond anaiwakilisha Tanzania pale.