Kufungua forum inagharimu fedha kiasi gani?

Kufungua forum inagharimu fedha kiasi gani?

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Habari zenu wana tech, nipo hapa nimepata wazo nataka nifungue forum iwe kama JamiiForums ila tu utakuwa mahususi kwajili ya watu wanaotokea sehemu moja, kufanana interests, kufanya kazi / biashara sawa, n.k. (niche specific)

Wanachama wa kukadiriwa kujiunga ni takribani elf 30.

Je, ni kiasi gani kinahitajika ?

Awali nilitaka nifungue forum ya sisi mafundi seremala lakini niliona niche hii wahusika wapo wachache na kiteknolojia wapo nyuma hasa ukizingatia wengi ni std 7 na form 4 ambao hata email hawana za kujiungia kwenye forum. Wachache hasa tulioishia form 4 (nikiwemo mimi) tuna email hata za kutumia kujiunga huku jf, kwa kuliona hili nikaamua ni focuss na wide niche.

Benefits waweza kuuza display ads kwa wanaotaka kutangaziwa biashara zao either locally ama ad networks kama adsense na taboola, waweza promote bidhaa zako niche specific mfano group la arusha waweza weka kabango kadogo kuuza mashuka yao + kusafirisha, n.k. waweza uza e-books / pdf niche specific, n.k
 
Mkuu fanya kununua tu hii jamii ambayo tayari ina watu
 
Kufungua forum haijawahi kuwa jambo gumu, hata bure unaweza fungua, kazi ni kuwapata hao watu 30,000
Nafunguaje Chief-Mkwawa ?

Wadau wapo sana tu, tatizo linakuja mtu aki iga kila kitu cha jamiiforums, hakuna kipya yani na mbaya zaidi kaweka nguvu kidogo sana kwenye kuitangaza (promo / ads)

Unaweza kuwa tofauti kwa kuanzisha forum ya mkoa, promo / ads waweza pata kwa ku manage group kubwa niche based la mkoa facebook

Waweza anzisha forum ya kabila flani ukapata wafuasi, again ni muhimu sana uwe na platform ya kuitangaza

Sio jambo la muda mfupi hadi wajae, inaweza chukua almost mwaka mzima.

Benefits waweza kuuza display ads kwa wanaotaka kutangaziwa biashara zao either locally ama ad networks kama adsense na taboola, waweza promote bidhaa zako niche specific mfano group la arusha waweza weka kabango kadogo kuuza mashuka yao + kusafirisha, n.k. waweza uza e-books / pdf niche specific, n.k


Binafsi nilitaka nianzishe forum ya mafundi seremala ila nimeona mafundi seremala wataojiunga watakuwa wachache sana, nimewaza nifungue hizi zenye magroup makubwa hata huko facebook.
 
Ila una idea nzuri sana hio ya mafundi seremala..iwe app ambayo ndani kuna tutorials za kutengeneza,kuuza bidhaa kutafutiana masoko
 
Ila una idea nzuri sana hio ya mafundi seremala..iwe app ambayo ndani kuna tutorials za kutengeneza,kuuza bidhaa kutafutiana masoko
Kwa mafundi seremala bado niche ni ndogo sana, hata mafundi cherehani wametuzidi kwa wingi huko group lao la fb.

Nimeamua tu nitengeneze forum yenye kugusa wengi ili niwe na members wengi at least hata 30k.
 
Si unafungua tu uzi humu " SPECIAL THREAD FOR CAPENTRY/MASEREMALA " Changamoto, maujanja, suluhu, connections. Bhasi au kuna lingine
 
Si unafungua tu uzi humu " SPECIAL THREAD FOR CAPENTRY/MASEREMALA " Changamoto, maujanja, suluhu, connections. Bhasi au kuna lingine
Huo ni uzi ndani ya forum.

Nataka nofungue forum inayojitegemea mfano niite usafiforums(.)com, humo ndani yake kuwe na majukwqa ya mipangilio ya chumba, mapambo, shuhuda, members lounge, nguo, n.k.

Each and every post spins around "usafi" na kila member awe ana share mambi ya usafi

Hio forum ni mfano tu, sio nayopenda kufungua
 
Nafunguaje Chief-Mkwawa ?

Wadau wapo sana tu, tatizo linakuja mtu aki iga kila kitu cha jamiiforums, hakuna kipya yani na mbaya zaidi kaweka nguvu kidogo sana kwenye kuitangaza (promo / ads)

Unaweza kuwa tofauti kwa kuanzisha forum ya mkoa, promo / ads waweza pata kwa ku manage group kubwa niche based la mkoa facebook

Waweza anzisha forum ya kabila flani ukapata wafuasi, again ni muhimu sana uwe na platform ya kuitangaza

Sio jambo la muda mfupi hadi wajae, inaweza chukua almost mwaka mzima.

Benefits waweza kuuza display ads kwa wanaotaka kutangaziwa biashara zao either locally ama ad networks kama adsense na taboola, waweza promote bidhaa zako niche specific mfano group la arusha waweza weka kabango kadogo kuuza mashuka yao + kusafirisha, n.k. waweza uza e-books / pdf niche specific, n.k


Binafsi nilitaka nianzishe forum ya mafundi seremala ila nimeona mafundi seremala wataojiunga watakuwa wachache sana, nimewaza nifungue hizi zenye magroup makubwa hata huko facebook.
Forum za bure ni kama reddit, probpard forumation etc kila kitu ni wao majina, hosting etc. Ila na wewe unakuwa huna control.

Forum za bei rahisi ni kama mybb, phbb etc hizi unanunua jina na host unainstall hizo software unapata forum.

Forum proffesional za kulipia kama Xenforo, Vbulletin etc unanunua software ya forum, hosting na jina.
 
Huo ni uzi ndani ya forum.

Nataka nofungue forum inayojitegemea mfano niite usafiforums(.)com, humo ndani yake kuwe na majukwqa ya mipangilio ya chumba, mapambo, shuhuda, members lounge, nguo, n.k.

Each and every post spins around "usafi" na kila member awe ana share mambi ya usafi

Hio forum ni mfano tu, sio nayopenda kufungua
Gudluck
giphy.gif
 
Forum proffesional za kulipia kama Xenforo, Vbulletin etc unanunua software ya forum, hosting na jina
Hizo reddit bado nina limited control, ni kama kuanzisha uzo special tu humu jf ila unapewa powers za ziada.

mfano hio Vbulletin hii ndio naipenda, nadhani ndio inatumika hata humu jf, hii inaweza gharimu sh ngapi.

Domain naweza kuimudu kabisa nikalipia hata laki kwa miaka 10
 
Unaweza tumia Xenforo ambayo ndio inatumiwa na jamiiforum, ukihitaji hiyo xenforo niambie utanipa kahela kidogo nitakufanyia installation na customization zote.
 
Hizo reddit bado nina limited control, ni kama kuanzisha uzo special tu humu jf ila unapewa powers za ziada.

mfano hio Vbulletin hii ndio naipenda, nadhani ndio inatumika hata humu jf, hii inaweza gharimu sh ngapi.

Domain naweza kuimudu kabisa nikalipia hata laki kwa miaka 10
Jf nafkiri ni Xenforo, kuna package tofauti tofauti ila bei ni ndefu, pitia website zao.
 
Back
Top Bottom