Kufungua Huduma ya Afya "Kituo Cha Afya"

Kufungua Huduma ya Afya "Kituo Cha Afya"

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Wakuu habari za wakati huu, natamani sana kujua ABCs za kuanzisha kituo Cha Afya Cha binafsi.
Je ni mambo gani ya msingi ya kuzingatia?

Je, Kuna mtu anaweza ku-share experience namna ya kukiendesha kwa faida?

Natanguliza shukrani sana
 
Back
Top Bottom