MJIMPYA
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 506
- 272
Natafuta mwenye utaalamu wa kuandika documents za kufungua kampuni. Nina wazo la kufanya biashara ndogo tu kwa kuanzia ila baadae naamini itachanganya na kuwa kubwa so nahitaji niwe na kampuni.
Nataka pia ushauri wa mambo mbalimbali so nikipata mzoefu na aliye tayari kujibu maswali yangu nitafurahi.
Tafadhali aliye serious ani-PM pia weka cost zako na contacts.
Asanteni sana
Nataka pia ushauri wa mambo mbalimbali so nikipata mzoefu na aliye tayari kujibu maswali yangu nitafurahi.
Tafadhali aliye serious ani-PM pia weka cost zako na contacts.
Asanteni sana