flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,860
- 6,390
Habari ndugu zangu.
Baada ya kusikia habari kutoka serikalini kuwa na madalali wanatakiwa kuwa na leseni ya biashara ya udalali ndio utakuwa unafanya shughuli zako kihalali.
Nimeona fursa hapo kutokana na madalali sio wote ila wengi sana wanaendesha biashara zao bila ya kufuata taratibu za serikali inavyotaka, mimi nimeona nifanye hii biashara kihalali kabisa kwa kufuata taratibu zote.
Nataka nifanye kihalali sio kwasababu yakuiogopa serikali ila nataka niaminike kwawateja wangu nawajue napatikana wapi.
Vilevile nataka nifate taratibu zote ili niwe huru kupambania dili kubwa kubwa zaserikali au makampuni na mabenki endapo wanapoamua kuuza mali zao au za watu kwa njia ya mnada basi na mimi niwe na vigezo vya kugombania tenda hizo.
Nataka nifanye kisasa kabisa niwe na ofisi kabisa. Niwe na camera na kompyuta kwa ajili ya kuhifadhia kwa picha mali zinazouzwa ikibidi na video kabisa kwa ajili mteja anapokuja ofisini unamuonesha kama ni nyumba kuuzwa basi mteja unamuonesha mazingira yote ya hilo eneo lenye nyumba na majirani kabisa wa hilo eneo na viwanja nihivyo hivyo na vitu vingine ili hata mnapoamua kwenda site au kwenda kumuonesha kile unachokiuza basi unakuwa na asilimia zaidi 75% ya kumuuzia mteja uliyenaye kwa wakati huo.
Najua wapo madalali ambao walisha development ila naamini kabisa bado niwachache sana.
Nachohitaji mnishauri. Nifungue kama kampuni na nikatie leseni ya biashara yakampuni navipi gharama zake? Au nifungue kwa jina la kawaida yaani kwa majina yangu na leseni nikate ya kawaida? Kipi kizurii na chenye unafuu kati ya hivyo viwili?
Msaada wenu wazoefu wa mambo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kusikia habari kutoka serikalini kuwa na madalali wanatakiwa kuwa na leseni ya biashara ya udalali ndio utakuwa unafanya shughuli zako kihalali.
Nimeona fursa hapo kutokana na madalali sio wote ila wengi sana wanaendesha biashara zao bila ya kufuata taratibu za serikali inavyotaka, mimi nimeona nifanye hii biashara kihalali kabisa kwa kufuata taratibu zote.
Nataka nifanye kihalali sio kwasababu yakuiogopa serikali ila nataka niaminike kwawateja wangu nawajue napatikana wapi.
Vilevile nataka nifate taratibu zote ili niwe huru kupambania dili kubwa kubwa zaserikali au makampuni na mabenki endapo wanapoamua kuuza mali zao au za watu kwa njia ya mnada basi na mimi niwe na vigezo vya kugombania tenda hizo.
Nataka nifanye kisasa kabisa niwe na ofisi kabisa. Niwe na camera na kompyuta kwa ajili ya kuhifadhia kwa picha mali zinazouzwa ikibidi na video kabisa kwa ajili mteja anapokuja ofisini unamuonesha kama ni nyumba kuuzwa basi mteja unamuonesha mazingira yote ya hilo eneo lenye nyumba na majirani kabisa wa hilo eneo na viwanja nihivyo hivyo na vitu vingine ili hata mnapoamua kwenda site au kwenda kumuonesha kile unachokiuza basi unakuwa na asilimia zaidi 75% ya kumuuzia mteja uliyenaye kwa wakati huo.
Najua wapo madalali ambao walisha development ila naamini kabisa bado niwachache sana.
Nachohitaji mnishauri. Nifungue kama kampuni na nikatie leseni ya biashara yakampuni navipi gharama zake? Au nifungue kwa jina la kawaida yaani kwa majina yangu na leseni nikate ya kawaida? Kipi kizurii na chenye unafuu kati ya hivyo viwili?
Msaada wenu wazoefu wa mambo.
Sent using Jamii Forums mobile app