Kufungua kampuni

Bilulu II

Member
Joined
Oct 7, 2014
Posts
58
Reaction score
6
Wadau mambo vipi? Kwa wale wenyeuzoefu na taalumu katika swala la makampuni ninaomba nijuzwe ni jinsi gani ninaweza fungua kampuni na taratibu zote zinazotakiwa pamoja na mambo ya share holders..
 
Tembelea website ya brela utaona fee za kulipia kulingana na capital share then tafuta mwanasheria akutengenezee memorandum rudi
brela na vitabu vyako lipia bank subiri ndani ya siku saba unaenda chukua company yako.memorandam kitabu kimoja 15000 muhuri 5000
 

asante sana.... ngo nianze mchakato.
 
Habari zenu wapendwa naitaji kujua jinsi ya ktfungua kampuni ya ufundi kama eletrical engneering
 
Habari zenu wapendwa naitaji kujua jinsi ya kufungua kampuni ya ufundi kama eletrical engneering
 
Taratibu za kusajili ni hizo hizo isipokuwa lesen na kusajiliwa na board of contractor na osha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…