Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Yaani unatumia Tsh 50,000,000+ ili wenzio ambao hata huwajui wasikilize bure redio na wengine labda kutangaza biashara zao kwa malipo kiduchu huku ukiajiri wataalam/watangazaji? Hii kitu haina utofauti sana na kubet.Nasikia hiyo biashara ni ngumu sana kwa siku hizi, imeshikiliwa na wazoefu wachache.
Kuna jamaa hapa JF alikunyaga na mchanganuo kwa radio ngazi ya wilaya alisema hata 50,000,000.
Anaitwa sijui Radio Producer
pitia thread zake utajifunza, nimezipitia.
Muongozo muhimuWatakuja kukupa muongozo
Kusikiliza redio ni muhimuSie wengine wasikilizaji redio za kina chibu🏃♂️
Hiyo inahusu vifaa tu, au mpaka jengo?Nasikia hiyo biashara ni ngumu sana kwa siku hizi, imeshikiliwa na wazoefu wachache.
Kuna jamaa hapa JF alikunyaga na mchanganuo kwa radio ngazi ya wilaya alisema hata 50,000,000.
Anaitwa sijui Radio Producer
pitia thread zake utajifunza, nimezipitia.
Biashara au? Wenzako wanafanya biashara nyingine, huko wanajificha tu.Habari za jioni wakuu?
Kufungua kituo cha redio, ni vitu gani vinahitajika, na kinaweza kugharimu kiasi gani?
Unaweza kunisaidia mchanganuo mkuu?Mil 15 ukitaka isikike ngazi ya kata.
Biashara tu, na mada kuu zitakuwa ni za ujasiriamaliBiashara au? Wenzako wanafanya biashara nyingine, huko wanajificha tu.
Muhimu nia, inawezekanaLazima nije nifungue Radio na TV.
Kadi inasaidiaje mkuu?Cha kwanza miliki KADI ya CCM!hayo mengine utajiongeza!
Mwanzo huwa ni mgumu, uvumilivu ni muhimu zaidiYaani unatumia Tsh 50,000,000+ ili wenzio ambao hata huwajui wasikilize bure redio na wengine labda kutangaza biashara zao kwa malipo kiduchu huku ukiajiri wataalam/watangazaji? Hii kitu haina utofauti sana na kubet.
Lakini hutakuwa umeamua vizuri na kuvumilia ilhali unajua 75% unaweza kufeli (probability ya kufeli ni kubwa) ukilinganisha na uwezekano wa kufaulu ni mdogo sana. Ila kurisk ndo roho ya wajasiriamali wengi.Mwanzo huwa ni mgumu, uvumilivu ni muhimu zaidi