Kufungua kituo cha radio kinagharimu kiasi gani?

Yaani unatumia Tsh 50,000,000+ ili wenzio ambao hata huwajui wasikilize bure redio na wengine labda kutangaza biashara zao kwa malipo kiduchu huku ukiajiri wataalam/watangazaji? Hii kitu haina utofauti sana na kubet.
 
Hiyo inahusu vifaa tu, au mpaka jengo?
 
Yaani unatumia Tsh 50,000,000+ ili wenzio ambao hata huwajui wasikilize bure redio na wengine labda kutangaza biashara zao kwa malipo kiduchu huku ukiajiri wataalam/watangazaji? Hii kitu haina utofauti sana na kubet.
Mwanzo huwa ni mgumu, uvumilivu ni muhimu zaidi
 
Nilishawahi kufungua kituo cha radio and the day nikamuuzia mwamposa kama upo serious njoo pm nakupa info zote na kuku conect na wahusika kuanzia vifaa mafundi, usajili nakila kitu we ni kusubir tu uisikilize uje serious sio unakuja kuulizia tu kama kuuliza tuu endelea kusubili wahusika wanakuja watakujibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…