Kufungua kiwanda cha kukoboa mpunga

Kufungua kiwanda cha kukoboa mpunga

alutesalim

Member
Joined
Jul 11, 2019
Posts
6
Reaction score
3
Habarini wa jamvi, naomba kupewa ushauri kuhusu kufungua kakiwanda kadogo cha kukoboa mpunga maeneo ya mvomero morogoro. Naombeni ushauri kama inalipa na kama mnaweza pemdeza maeneo mazuri zaid katika kata za mvomero ili nifungue, nina mtaji wa milioni 15 hv utatosha?

Karibuni
 
Ina maana wachangiaji wamekosekana au ni uchoyo wa maarifa?
 
  • Mkuu Kama bado unao huo mpango wako mimi nikushauri nenda wilaya ya kilombero katika maeneo kama mang'ula utafanya kazi na hautojuta.. msimu wa mavuno mipunga ni mingi mno kule hadi mashine zilizopo zinazidiwa licha ya kuwa zinafanya kazi usiku na mchana
 
Back
Top Bottom