Kufungua mashitaka: Kiongozi /mtumishi wa serikali kumiliki vyeti feki

Musoma Yetu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2016
Posts
2,633
Reaction score
2,297
Habari za humu ndani. Je, mimi kama raia wa Tanzania nina weza kumfungulia mashitaka ya watu fulani /mtu fulani mahakamani ikiwa nina uelewa kuwa fulani /watu fulani kuwa vyeti wanavyomiliki ni feki.? Mfano, raia wamepiga kelele na mamlaka husika ipo kimya kuhusu mtumishi fulani /watu fulani wana vyeti feki. Je, mahakama ikilazimisha mamlaka husika kufanya uchunguzi, na ikithibitika kuwa ni vyeti feki, sheria inasemaje? Nawasilisha.
 
Sasa Unaenda mahakamani bila Kumwambia Mjumbe au Polisi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…