Kufungua tawi la chadema udom

Tawi litaanzishwa na wote kwa pamoja wafanyakazi na wanafunzi usihofu hata kidogo
 
Lazima ile kwao walidhani chuo kikiwa Chimwaga basi ni cha CCM. Kama hawataki kuumbuka waachane na wasomi waendelee tu na KILIMO MWISHO watapata japo asilimia 20% ya kura 2015.

Vijana kazeni buti, Tawi hilo liwafundishe vijana waende vijijini wakaelimishe wazazi wao kwamba CCM ni mzoga haufai. Tunataka pia muondoe aibu ya mji wa DODOMA kuwa ngome ya CCM huku kuna jamii ya wasomi wengi kiasi hicho. iweni chachu ya mabadiliko Dodoma. Tunataka manispaa ya Dodoma na jimbo lake 2015 tuwachie wakatawale huko kijijini.

Mzumbe na SUA mpo wapi mbona morogoro nako aibu tupu hakuna hata jimbo moja la upinzani? Tena majimbo mengine yanachukuliwa na wazee hata hawajasoma bwana! Acheni kukaa kimya kama mmekula ubwabwa wa bibi(CCM)i jaribuni kufikiri kama hawa madogo wa UDOM ili muukomboe mji wa Moro!
 

Tehe tehe teheeeeeee, ama kweli mfa maji haachi kutapatapa, watu wanazungumzia strategies wewe unasema wanajigamba na UDOM, CCM wameshakata tamaa.

Wewe ni miongoni mwa watu ambao ni fake great thinkers, huwezi sema unashangaa wana CHADEMA kucomment kwenye ishu kama hii, J.F inawawakilisha watanzania maana wakati wa kuji register hakuna sehemu unayoulizwa kuwa wewe ni CCM au CHADEMA, ukiona members wengi wa jamiiforums ni chadema basi ujue ndio hali halisi kwamba watanzania wengi wenye akili timamu ni wafuasi wa CHADEMA.

Big up wana UDOM, idadi yenu ni kubwa sana, Taifa linategemea ukombozi kutoka kwenu.
 
Safi sana, inaleta matumaini sana maana wasomi wakiwa mstari wa mbele ni rahisi kuwaelimisha waliolala. CCM ni chama cha wasio jua ukweli wa mambo sasa sijajua kama watawaambia nini wasomi? Surport yetu iko kwenu Wana UDOM.
 
Waaah.hilo ndo tulitaka kusikia maana siku zote ccm udom ingawa wapo kiduchu wanajigamba.Kwa taarifa yenu nyie wenye mawazo eti udom wote ccm polen sana na mtambue udom km chuo kikuu chadema au upinzani ndo wengi ila ccm kama ada yao wanajipendekeza kwa jina la chuo.kama ccm hawaamin hilo wawaombe redet au synnovet waje watafiti waone kuwa udom na ccm kwa90% ni kama mwarabu na kitimoto.na nyie ccm wa udom mkome kuwa mnatoa taarifa zenu kwa jina la chuo,bali sema ccm udom wasema....pia tunawaomba viongozi wa chadema mkoa na taifa wawe karibu nasi ili tuwamwage mafisadi.
 


HAKUNA KItU CHA NAMNA HIYO WEWE UTAKUWA MOJA WAPO YA WANAUSALAMA FEKI
UNATENGENEZA STORi
 
kwa hiyo move mlichobakisha ni kuhakikisha mnafuata sheria za Chuo na nchi na kubwa kuliko ni kukomaa class koz hawa jamaa wakiwaspot huwa wanakuwa wasumbufu kdg. hapo tutegemee Viongozi wa ukweli.....hope first class n Upper 2nd will come out of u GUYS.....Mimi personally nawapa HEKO..........Kuleni Tano zangu fasta.....sambazeni elimu kwa wenzenu......
 
Hila kumbukeni sheria za vyuo vikuu msije kujiingiza kwenye matatizo ya kufanya siasa ndani ya chuo. Inaweza kuwaweka pabaya. Someni sheria hizo kwa makini.
 
HAKUNA KItU CHA NAMNA HIYO WEWE UTAKUWA MOJA WAPO YA WANAUSALAMA FEKI
UNATENGENEZA STORi
Achana na haya mawzo mgando kama una mtu hapa UDOM muulizie juu ya haya mambo yote manane niliyoyataja na ukiona kwamba ni feki basi na usubiri hii januari tuone nini kinafanyika. N inakuomba usipaniki tulia kwani wana Udom wenye akili timamu tumeamua kuonesha makucha yetu, Tunasema tupo tayari kwa lolote
 
Maamuzi makubwa vijana, hiyo inatutia moyo kazeni buti nijuavyo mimi wanaharakati wengi ni wakali darasani kwahiyo mtu yeyote asiwatishe. Itapendenza tawi hilo akilifungua tundu lissu. Chadema ina mkakati wa kufungua matawi mengi zaidi kwa fujo. Hongereni saana
 
Ningependa kushiriki na kuwa mmoja wa kufanikisha kufikia malengo ya chama katika kuendeleza na kukuza mustakabali wa chama...
For more information:
CR of B.Sc Mineral processing engineering-FIRST YEAR AT UDOM !!!!!
 
Ningependa kushiriki na kuwa mmoja wa kufanikisha kufikia malengo ya chama katika kuendeleza na kukuza mustakabali wa chama...
For more information:
CR of B.Sc Mineral processing engineering-FIRST YEAR AT UDOM !!!!!
Sawa mkuu tutakupa taarifa na tunaomba uzidi kuwaambia na wenzako katika hiyo skuli yenu wewe utakuwa ni mjumbe katika kufanikisha azima hii
 
Miradi bubu big up sana. Nipo dodoma, tutaftane, labda naweza changia chochote katika hilo.
 
hongereni vijana, wekeni mkazo kupambana na wanafiki wanaojipendekeza kwenye teule za jambazi kikwete
 
Haya ni mapambazuko yenye kutia matumaini, moyo huo wa kimapinduzi mkiuelekeza kwa vijana wanaosoma kwenye shule za yeboyebo pindi mpatapo nafasi, CCM haita himili NGUVU YA UMMA 2015. Ni aibu kwa kijana wa kisasa kukumbatia CCM inayofilisi nchi hii.

Hongereni sana kwa kulitambua hilo mapema na kuweza kuunganisha nguvu zenu pamoja kwa manufaa ya Taifa.
 

miradibubu usibishane na mpu***vu, huyo tunamjua, anatapatapa maana sikuzao zinahesabika. Nyie hapo UDOM jiwekeeni mikakati ya kimaendeleo ili siku moja umma😛eace: ushike madaraka ya nchi yao. siyo sasa hivi Mafisadi:spy: ndo yaliyo shikilia nchi!
 
Wana-JF nadhani propaganda ya CCM kwa kuwasingizi vijana hawa Vyuo Vya Dodoma huenda ikakigharim sana chama hicho tena kwa kipindi kirefu mno katika vyuo vyetu vyote nchini na KUCHUKIWA ZAIDI NA ZAIDI.

Mpaka hapa nimejifunza ya kwamba uongo una gharama kubwa katika jamii yenye uwezo wa kupembua mambo!!

Hongereni, kama hivyo vivyo ndivyo hali halisi!!
 
Itabidi sasa wajenge(ccm na waarabu wao) chuo kingine. Udom imekombolewa

kazeni buti vijana.

Heshima yako Ng'wanangwa. Mkuu unahasira kweli. Hiyo komyuta yako naihurumia! Kwamba wakajenge anaother University! Hii kali...
 
Big up sana kwa hiyo strategy.Tupo wengi hapa Udom tatizo ni kuwa harakati zipo chinichini mno kwa wasio na taarifa kushiriki.Naomba mbuni njia nzuri ya kutupa taarifa wanachama juu ya maendeleo ya chama ikiwamo ushiriki wa vikao.Mfano juzi sikujua hama tuna mkutano uliofanyika maeneo ya makulu kwa kukosa taarifa huku nikiwa mwanachama hai.Kwahiyo miradi bubu kama we ni kiongozi au upo karibu na viongozi tafuteni njia sahihi ya kutupatia taarifa bila kuvunja sheria za chuo.Nipo college of Education,nasubiri kwa hamu uzinduzi wa tawi letu.Pamoja sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…